Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

[emoji23] [emoji23] that's a relief nlitaka kutoka mbio. Nakupenda pia my dia Mungu akujalie wewe na shem na akatie mkono wake katika kila mlipangalo
Sasa baby ndo umenipotezea au??? Maana sielewiii
 
[emoji8] [emoji8] [emoji8] thank uuu

nenda pm kwanza japo umefunga Ila nenda!
 
...hahahahahaha...huu uzi ntakuja niusome woooote,japo page nyingi!
.huyu mtoto Nifah iko janja sana!..yani mpwa warumi kajitahidi weeee kuleta miubuyu ya ki-shilawadu,halafu mtoto kafa kwa mambo ya kiintelejensia,dadeki!!
.....hahahahaha..,hongereni sana,hongereni mno,hongereni kupita kiasi aisee!
.tunasubiri ndoa!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante sana mkuu.

Wakati ukifika mambo yatakuwa wazi na tutawapa mualiko woteeeeee In Shaa Allah [emoji120].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…