Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,094
- 3,218
Amechukua ballon d'or hao unaowajua nitajie tuzo zaoRonaldo hawezi hata kuingia katika top 10 best players ndani ya EPL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechukua ballon d'or hao unaowajua nitajie tuzo zaoRonaldo hawezi hata kuingia katika top 10 best players ndani ya EPL
Narudia tena Haland hataweza atawika miaka 3-5 kwisha.Atayapita tena mbali sana Mungu taupe uhai Tu ntarudi sikumoja kufukua hili kaburi
Wabongo tulivyo, huu mjadala mmeshaufanya kuwa ni ubishi wa Haaland vs Messi. Usichokielewa hapa ni nini? Halaand angekuwa anachezea West Ham sasa hivi angeweza kufunga magoli mengi namna hiyo? Kwani kina Messi hawakuwa na mafanikio? Unajua Messi ameweza kuwa juu kwenye mpira kwa muda gani?mafanikio ya Halland yanachangiwa na timu anayocheza, vipi kuhusu Messi na Ronaldo? hao jamaa walicheza na wachezaji bora zaidi kuliko anaocheza nao Halland.
Unaweza kuprove Messi alikuwa na goli sita ndani ya msimu mmoja......?sasa goli 6 kwa msimu mmoja ni majivuno?
Wabongo tulivyo, huu mjadala mmeshaufanya kuwa ni ubishi wa Haaland vs Messi. Usichokielewa hapa ni nini? Halaand angekuwa anachezea West Ham sasa hivi angeweza kufunga magoli mengi namna hiyo? Kwani kina Messi hawakuwa na mafanikio? Unajua Messi ameweza kuwa juu kwenye mpira kwa muda gani?
Amechukua ballon d'or hao unaowajua nitajie tuzo zao
Nje ya Barca Messi anachezea Argentina, ana tuzo mbili za mchezaji bora wa kombe la dunia,tatu za mchezaji bora wa michuano ya Copa America. Maana kama ndio hivyo Pelle nae nje ya Santos ni takataka........si ndio hivyo kwa mtizamo wako? Nyie mpira sijui mnaangaliaga vitu gani........MKuu Halland anafunga popote, tizama rekodi zake kabla ya kuja CIty, Messi nje ya Barca ni takataka
Ni striker. Huko alikokuwa alikuwa hafungi kama sasa. Unajua Messi amechukuwa kombe la dunia na timu ya taifa? Unasemaje ni takataka wakati muda mwingi wote ameutumia Barcelona? Tusibishane mambo ya kijinga na tusibiri na kuomba uzima tuone Haaland kama atakuweza kufikia mafanikio ya Messi.MKuu Halland anafunga popote, tizama rekodi zake kabla ya kuja CIty, Messi nje ya Barca ni takataka
Ni striker. Huko alikokuwa alikuwa hafungi kama sasa. Unajua Messi amechukuwa kombe la dunia na timu ya taifa? Unasemaje ni takataka wakati muda mwingi wote ameutumia Barcelona? Tusibishane mambo ya kijinga na tusibiri na kuomba uzima tuone Haaland kama atakuweza kufikia mafanikio ya Messi.