Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Em fikiria kipindi yupo DROGBA, PATO, PUYOL, INZAGHI, KAKA, RONALDINHO, TEVEZ, LAMPARD, TERRY, VIDIC, FABREGAS, golini wakina Van D sir etc.. jamani mpira umebadirika sanaaa....
Mbona wachezaji wenye vipaji wapo wengi tu....Vinicius, Mbappe, Arda guller, Lamine yamal, Cole palmer, Rodrigo, Musiala etc.... We kama unashabikia Timu hohehahe lazima uone vipaji hakuna ila vipo sema kwenye timu yako ndo hakuna.
 
Uchezaji wa Halaand, unalingana na Ruud Van Nestroy na Philip Inzagi. Hawa walikuwa hawana mambo mengi, akipata mpira ndani ya box impact yake ni kubwa sana na unahesabu goal
 
Erling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.

➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.

Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌

Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton

⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull

Erling Haaland

⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest

⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham

ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.

Full - West Ham 1 - 3 Man City

⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'

Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀

Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.

Tom Cruz facts 🧠
Bin
Erling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.

➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.

Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌

Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton

⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull

Erling Haaland

⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest

⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham

ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.

Full - West Ham 1 - 3 Man City

⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'

Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀

Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.

Tom Cruz facts 🧠
Hili nililitarajia.
Wewe mpira ulikua huangalii kitendo Cha mtu kukaa na wewe mda wote ni unamnyanyasa huoni Kila mda alikua yeye na halland wakati mwenzake yupo kawaida tu ila yeye amemkamia kiufupi hamuwezi kama angekua wa kawaida angerela

Wewe mpira ulikua huangalii kitendo Cha mtu kukaa na wewe mda wote ni unamnyanyasa huoni Kila mda alikua yeye na halland wakati mwenzake yupo kawaida tu ila yeye amemkamia kiufupi hamuwezi kama angekua wa kawaida angerelax
Mwisho wa mechi anayepongezwa ni Rudiger kwa kuifanya kazi yake. Over!
 
Waliyafanyia Spain sio England,Spain hata mimi nafunga kila week
Kama ingekua hivyo kina coutinho na kina Malcolm wange shine.
Eden Hazard katoka England Chelsea akiwa wamoto alifanya nini kule Real madrid!??
Usitake kutuchota akili hapa kaka.
 
Nenda kacheze wewe nafasi ya halland upate MAFANIKIO hayo
Hiki akili za ki-bongo bongo, kilimbukeni limbukeni hizi! Kila kitu zinadhani ni ligi au chuki. Hapa watu wanatoa analysis zao siyo lazima ukubali. Hii dunia kila mtu ana shughuli na kipaji chake lakini haimzuii kusifia au kuelezea wengine. Hatuwezi kufikiri kwa aina moja. Kusema Haaland ni striker tofautu na Messi ambaye ni kiungo inahitaji mimi kwenda kuchukua nafasi yake? Idiot at his/her main camp! Koma kabisa kunizoea.
 
Najua litapingwa hili ila Aguero alikuwa ni mzuri kuliko hata huyu Haaland anaeshinda hizi goli nyingi
Aagh wee ni matusi kumshindanisha Aguero na Halland.
Aguero alikua anatoka injury with in few matches unamkuta yupo top three ya wafungaji pale EPL.
Aguero huyu ukimpa mpira umuache na mabeki watatu ama wanne wameisha anawatambuka wote.
Aguero alikua anaweza kuutafuta mpira na kufunga.
 
Aagh wee ni matusi kumshindanisha Aguero na Halland.
Aguero alikua anatoka injury with in few matches unamkuta yupo top three ya wafungaji pale EPL.
Aguero huyu ukimpa mpira umuache na mabeki watatu ama wanne wameisha anawatambuka wote.
Aguero alikua anaweza kuutafuta mpira na kufunga.
Hiki ndicho tunachokisema Haaland hakiwez

Game hii tough Aguero aliiamua yeye kitu ambacho Haaland hakiwez

Hivi game kama ile ya nusu msimu uliopita vs Madrid Uefa kama ingekuwa na mtu kama Aguero Madrid alikuwa anamalizwa mapema tu
Screenshot_20240901-165239_1.jpg
 
Kama ingekua hivyo kina coutinho na kina Malcolm wange shine.
Eden Hazard katoka England Chelsea akiwa wamoto alifanya nini kule Real madrid!??
Usitake kutuchota akili hapa kaka.
Kawaida tu hiyo,huwezi kujudge kwa mifano ya wachezaji wawili watatu bali kwa ujumla wake,ni EPL pekee ambapo time inayoshuka daraja inaweza kumfunga title contender
 
Mfano mechi ya Man City vs West Harm alifanya nini haswa uwanjani tofauti na kufunga magoli tu? Hana vigezo vya ubora kufikia akina Cr7 na Messi hata kwa 25% tu, Haaland wa kawaida sana tu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Haaland ni natural striker, zaidi ya kufunga unataka afanye nn tena? Messi alikua playmaker ndio maana uliona akiwa tofauti
Ronaldo alikua winger
 
Hiki akili za ki-bongo bongo, kilimbukeni limbukeni hizi! Kila kitu zinadhani ni ligi au chuki. Hapa watu wanatoa analysis zao siyo lazima ukubali. Hii dunia kila mtu ana shughuli na kipaji chake lakini haimzuii kusifia au kuelezea wengine. Hatuwezi kufikiri kwa aina moja. Kusema Haaland ni striker tofautu na Messi ambaye ni kiungo inahitaji mimi kwenda kuchukua nafasi yake? Idiot at his/her main camp! Koma kabisa kunizoea.
Kacheze wewe kelele za nini analysis utoe wewe takataka wa sigimbi huko juu ya halland hivi unaakili timamu kweli
 
Erling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.

➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.

Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌

Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton

⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull

Erling Haaland

⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest

⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham

ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.

Full - West Ham 1 - 3 Man City

⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'

Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀

Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.

Tom Cruz facts 🧠
na uzuri wa pep mie nampendaga zikiwa zimebakia mechi 12 msimu kuisha. aloooooo atapiga mechi 10 au 11 ni ushindi tuuu.
 
Hata kama ataweza kumaintain hatolinganishwa na Messi na Ronaldo labda level zake zitakuwa kina Lewandowski, Suarez, Ibrahimovic
Ronaldo na Messi katk peak zao walikuwa ni zaid ya huyu Haaland unaemuona leo si tu ku score goals namna za dribbling zao, speed, skills magoli ya kipekee ambayo wakishinda namna wanavyodominate game uwanjani
Ni Neymar na Salah ambao at least ndo wameweza kukaribia hizo level

Unaanzaje kumlinganisha Halland na Suarez? Unajua kama Halland tayari amesha m rap up Suarez career yake? Halland at 24 tayari ameshampita kwa magoli Suarez ndani ya champion league.
 
Kacheze wewe kelele za nini analysis utoe wewe takataka wa sigimbi huko juu ya halland hivi unaakili timamu kweli
Foolishness is a heavy burden. The problem is that it can't be fixed. You have a very slave-like mentality, and you see yourself as being so low that you despise yourself. This is a problem caused by a lack of exposure and poor education. Nenda huko uswekeni kwenu uswazi ukajibizane wa wajinga wenzako.
 
Hana uwezo wa kufunga goli 70 kila msimu

Haaland akitengana na Guardiola tu hatokuwa ktk peak hii tena

kamtafute Halland nje ya Pep, mwenndo wako ndio huohuo. Sio ndio nyinyi mliosema hawezi kufit kwenye mfumo wa Pep lakini? leo mnasema nje ya Pep hamna kitu?
 
Back
Top Bottom