gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Ni mipango ya timu,mpira hauchezwi tu holelaUnadhani kwa nini anazipata yeye na si mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mipango ya timu,mpira hauchezwi tu holelaUnadhani kwa nini anazipata yeye na si mwingine?
HUjielewi dogo umejawa wivu tuNi mipango ya timu,mpira hauchezwi tu holela
Wewe ni miongono mwa watu wanaoangalia magoli tu mpirani,tangu mechi ya Ethiopia, mpango kazi ni msuva ndiye mtu wa mwisho kumalizia move ya stars,mipira mingi imkute yeyeHUjielewi dogo umejawa wivu tu
Kwani si umseme tu ni samata ambaye hanamchango wowote stars. Unajuvunia ukapten unayecheza nafas ya ushambuliaji ila huna goli lolote hata la offside..[emoji706]Huyo ndiye shujaa asiyeimbwa kuna mmoja aliachwa mpk baba mzazi akawa analalama ila Msuva hakuna aliyemsemea ila aliporudishwa kaibeba stars kuipeleka Morocco
We bwege sana.unadhani kinachokupa points uwanjani ni nini kama si magoli?nenda kakate kiuno uone kama utapata points. Mpira ni magoli.Wewe ni miongono mwa watu wanaoangalia magoli tu mpirani,tangu mechi ya Ethiopia, mpango kazi ni msuva ndiye mtu wa mwisho kumalizia move ya stars,mipira mingi imkute yeye
Samata hajawa na mchango wowote kusema kweli. Watu wanamwogopa tu baba yake kuwa asipopangwa atalalamika.Kwani si umseme tu ni samata ambaye hanamchango wowote stars. Unajuvunia ukapten unayecheza nafas ya ushambuliaji ila huna goli lolote hata la offside..[emoji706]