Aliye kufa kafa, hyo ni safari yetu sote. Maisha lazma yaendelee akifa mtu anazaliwa mtuLakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.[emoji22]kama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue[emoji24]
Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu.
RIP Makamanda
yani ww na ngono [emoji23] au basi
kupigana miti nayo ni dawa pia kwa ajili ya kuondoa mawazo na uzuni katika mioyo yetu sisi kama wafiwaLakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.๐ขkama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue๐ญ
Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu.
RIP Makamanda
Hahahahahaahahahahah hamsemi sasa,,, anyway am sorry my sister๐๐๐๐mie Dada jamen
[emoji23][emoji23][emoji23]am so sorry Leader!