Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oky vizuri...Sina kipenz,hapa tu nawaza nijibuje kesho marejesho kikoba😢
Nafikiri unatania.Lakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.😢kama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue😭
Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu.
RIP Makamanda
Sijui,mie naangalia kipandekipande nipo episode 34
Umetisha...🙌🙌🙌Ndo bas tena
Hata James mwenyewe ana sura ya kunyegeza mbaya...sura ya hisia...lips ndo balaa
Au nitume tuu ukute ananitega je 🤓🤓🤓Ndo bas tena
Unajuwa umri wa kiblia kuishi? Tunasheherekea maisha ya Membe duniani, kula, kunywa na kuvuana chupi ndio sherehe inanoga.Lakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.😢kama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue😭
Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu.
RIP Makamanda
Ndo tunaenda mchezo wa Pili mkuuUnajuwa umri wa kiblia kuishi? Tunasheherekea maisha ya Membe duniani, kula, kunywa na kuvuana chupi ndio sherehe inanoga.
Kwa Le Mutuz ndio sina hata la kusema Mzee wa mabebez unataka tumuenzi kwa kipi? hebu tuache hata wewe MPE mtu aichakate ndio utatendea haki hii misiba.