Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
source!
Huree CHADEMA!!!!!!!
Wapi Malaria Sugu?
Umeona hayooo?
Halima mdee wa CHADEMA ameshinda KAWE kwa mbali sana matokeo rasmi punde, matokeo ya udiwani yamechakachuliwa maana CHADEMA walikuwa wanaongoza vituo 90 kati ya 27 ila ndio hivyo tena diwani kata ya Kawe kashinda wa CCM
Tupeni data kamili. matokeo yametangazwa au ni speculations tu????
sasa jamani ile mimba ya dk.batilda buriani aliyopewa na rostam ataipeleka wapi?:hippie:
Umeambiwa na nani? where is the source and realistic of these posts. Kahama jana tulikuwa na figure za ushindi kwa ubunge Chadema but leo from no where Lembeli ameshinda watu wanataka kuuana what a***k is this? Please tupeni confermed/announced figure maana sisi wengine we can't wait, we real need that lady back into the parliament as an elected MP not as appointed MP.umeambiwa halima mdee
Halima mdee wa CHADEMA ameshinda KAWE kwa mbali sana matokeo rasmi punde, matokeo ya udiwani yamechakachuliwa maana CHADEMA walikuwa wanaongoza vituo 90 kati ya 27 ila ndio hivyo tena diwani kata ya Kawe kashinda wa CCM