Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Jamani mliokwisha piga kura hebu tuelezeni iwapo kuna ukweli wa habari kwamba tiki ya kwa Dr (phD) inaweza kuhamia kwa 'Dr' (wa kuchota). Hii hasa ni katika maeneo ambayo Dr(PhD) ana ufuasi mkubwa kama vile Mbeya, Mwanza, Bklb, Musoma, Arusha, kili, Manyara, Iringa, Rukwa.
Hata mimi nimejaribu sana kuchunguza hiyo kitu kwa jinsi karatasi ilivyokujwa haiwezekani kuhamia kwa FISADI JK
Jamani mbona hamtupi updates za toka huko?? sie wa DAR ndo tumejitahidi kuwahabarisha, jitahidini jamani, tunataka taarifa, kwa DAR naona ni kimya sana, nimepita sinza uzuri, tabata, na sasa nipo mlimani, kumetulia, sasa ndo naingia chumba namba 2 kituo cha UTAWALA- MLIMANI tayari kwa kumpa kura RAIS wa ukweli, nimefurahi pia kusikia wana JF wakikumbushana kuhakikisha wanaandika vyema, hii nimejua kua ni wao kutokana na thread moja waliyokua wanaijadili ambayo ilikua hapa kitaani! VIVA SLAA