Sio kwa ulafi wa viongozi wa Africa wanaojilimbikizia mimali ambayo mwisho wa siku wanakuja kudhulumiwa tu na Wadhungu ??!! Sometimes muwe wakweli ! Selfishness katika Afrika ndio tatizo kuu linaloleta vita za wenyewe kwa wenyewe na umasikini wa kutupa !! Wala sio overpopulations !! Ukweli humfanya mtu kuwa huru !!Punguzeni kuzaa,resources za nchi sio ardhi peke yake.overpopulation ndio sababu ya vita nyingine duniani.Nature will always find a way to balance itself out.to many people are fighting for very little that's left
You nailed it ! Mi nimeshindwa kuiangalia hiyo video ! Please hii video ifutwe !!Wacheni kujidhalilisha, wacheni ugaidi wa kimtandao
Huu uzi haukupaswa kupewa hata dakika moja.
Wacheni ugaidi. hatuwezi kuendelea kujidhalilisha hivi. Jamii forums isitumike katika kuchochea Dis-information Afrika. Hatuna haja ya kuhabarisha kwa kubeza, kutukana na kudhalilishana...Jamiifirums wachaneni na hizi karaha.
....nina wasiwasi ina kirusi pia. Mada matusi, maudhui matusi, video haina chanzo cha kuaminika. na bado watu wanatukanana.You nailed it ! Mi nimeshindwa kuiangalia hiyo video ! Please hii video ifutwe !!
Fimbo na mawe yametoka ulaya? tuwe wakweli Sisi ni makatili.hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
Imewekwa kwa lengo maalum ili kuwaogopesha watu !! Wenye kuiweka they know the reason !!....nina wasiwasi ina kirusi pia. Mada matusi, maudhui matusi, video haina chanzo cha kuaminika. na bado watu wanatukanana.
Sawasawa..Fikira duni kama hizi ndiyo zinaifanya Afrika na wanaotoa maneno kama haya kuwa duni, maana wao hata kama ni kwa uvivu wao wakakosa chakula au hata wakajikwaa, sababu inakuwa ni wazungu.
Ndio, Fimbo zimetoka kwa wakoloni.Afrika hatukuwa tunachapana fimbo. Fanya utafiti wako vizuri ujiridhie. Kuna utafiti umefanywa na Muingereza kuhusu canning na sio wa mufa mrefu, tafuta vizuri utaupata. Hayo ya kupigwa mawe nayo ni matokeo ya waarabu. Jaribuni muwe mnafanya utafiti badala ya kukubali maneno yanayotupwa tu na mnakariri.Fimbo na mawe yametoka ulaya? tuwe wakweli Sisi ni makatili.
Matatizo yetu hatutafuti majibu ni kusukumia wengine
Hapa huwa ndo nachanganyikiwa kabisa na unafiq wetu sisi binadamu. Tunachagua dhambiMtu anachukia ushoga alaf anaua , huyo huyo ni mzinzi , ni kichekesho cha karne
Ni Upumbavu kuwaza hivi. Basi waafrika au wanaopigana hawana akili. Mimi hapo sijamuona Mrusi wala Mmarekani naona miafrika inauana kikatili kabisa.Warusi na wamarekani ndio wanao piganisha hiyo vita kill mmoja na upande wake...
Ask your father this question.
Ni kizazi ambacho kilizaliwa kwa njia isiyo sahihi. So hawezi akaelewa huyo kuna mauchafu yalichanganyika na ubongo wake wakati wake....Wewe ni mpumbavu wa Karne. Huna akili hata moja .
Ina maana hujamwelewa mtoa mada?
Nisadie hapo unamwona Mzungu yeyote akifanya hayo maunyama?Hapana ni wanawiasa wanagombania madaraka sasa wananchi wanamaliza wenyewe kwa wenyewe..
Sad..
Wote hao ni waislam na wamefunga ramadhaniSiku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
Fakamilo njoo hapa room uje umevaa dela kurahisisha. Kuna njemba zinakusubiria ili uwe fakamilozed.Jitahidi kuutumia vzr ubongo wako ili ukusaidie kuwaza kwa kina.
Naona umewaza juu juu sana kwa kiwango ambacho hata kutatua changamoto za familia yako sidhani kama unamudu (Kama ni mtu mzima lkn).
Sorry naomba kujua jinsia yako kabla sjaendelea kutoa mawazo yangu juu ya hii mada.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni UPUMBAVU WENU WAAFRIKA. HAMNA AKILI NA NI MANYANI. KWANI NIKIJA KUKUPA WEWE KISU NA MDOGO WAKO KISU KISHA NIKAWAAMBIA GOMBANENI MTAANZA KUGOMBANA? MTAKUWA WAPUMBAVU SANA. MANYANI HAMNA AKILI.hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] india, china, Nigeria kungekua na vita.Punguzeni kuzaa,resources za nchi sio ardhi peke yake.overpopulation ndio sababu ya vita nyingine duniani.Nature will always find a way to balance itself out.to many people are fighting for very little that's left
Urusi ni mshirika wa Bashir na hicho kikundi cha wapiganaji RSF kiliundwa na Bashir na kinapata support kubwa kutoka kundi la Wagner la Urusi.Warusi na wamarekani ndio wanao piganisha hiyo vita kill mmoja na upande wake...