Hali hii Sudan inatisha. Hapa sijamwona Mmarekani wala Mrusi. Ni Waafrika wenyewe wanafanyiana huu ukatili

Hali hii Sudan inatisha. Hapa sijamwona Mmarekani wala Mrusi. Ni Waafrika wenyewe wanafanyiana huu ukatili

Punguzeni kuzaa,resources za nchi sio ardhi peke yake.overpopulation ndio sababu ya vita nyingine duniani.Nature will always find a way to balance itself out.to many people are fighting for very little that's left
Sio kwa ulafi wa viongozi wa Africa wanaojilimbikizia mimali ambayo mwisho wa siku wanakuja kudhulumiwa tu na Wadhungu ??!! Sometimes muwe wakweli ! Selfishness katika Afrika ndio tatizo kuu linaloleta vita za wenyewe kwa wenyewe na umasikini wa kutupa !! Wala sio overpopulations !! Ukweli humfanya mtu kuwa huru !!
 
Wacheni kujidhalilisha, wacheni ugaidi wa kimtandao

Huu uzi haukupaswa kupewa hata dakika moja.


Wacheni ugaidi. hatuwezi kuendelea kujidhalilisha hivi. Jamii forums isitumike katika kuchochea Dis-information Afrika. Hatuna haja ya kuhabarisha kwa kubeza, kutukana na kudhalilishana...Jamiifirums wachaneni na hizi karaha.
You nailed it ! Mi nimeshindwa kuiangalia hiyo video ! Please hii video ifutwe !!
 
hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
Fimbo na mawe yametoka ulaya? tuwe wakweli Sisi ni makatili.
Matatizo yetu hatutafuti majibu ni kusukumia wengine
 
....nina wasiwasi ina kirusi pia. Mada matusi, maudhui matusi, video haina chanzo cha kuaminika. na bado watu wanatukanana.
Imewekwa kwa lengo maalum ili kuwaogopesha watu !! Wenye kuiweka they know the reason !!
 
Fikira duni kama hizi ndiyo zinaifanya Afrika na wanaotoa maneno kama haya kuwa duni, maana wao hata kama ni kwa uvivu wao wakakosa chakula au hata wakajikwaa, sababu inakuwa ni wazungu.
Sawasawa..
 
WALE VIHEREHERE WANAOTETEA MATAIFA YA MAGHARIBI MBONA HAWATETEI NDUGU ZETU WA KARIBU HAWA
UTASIKIA MPUMBAVU MMOJA MI NA NIKO NA PUTIN MARA MI NIKO NA UKRAINE.
 
Fimbo na mawe yametoka ulaya? tuwe wakweli Sisi ni makatili.
Matatizo yetu hatutafuti majibu ni kusukumia wengine
Ndio, Fimbo zimetoka kwa wakoloni.Afrika hatukuwa tunachapana fimbo. Fanya utafiti wako vizuri ujiridhie. Kuna utafiti umefanywa na Muingereza kuhusu canning na sio wa mufa mrefu, tafuta vizuri utaupata. Hayo ya kupigwa mawe nayo ni matokeo ya waarabu. Jaribuni muwe mnafanya utafiti badala ya kukubali maneno yanayotupwa tu na mnakariri.

Jamiiforums nayo, kwa mtindo huu itakuwa kama buzzed. dot kom.
Kuna mods hatari sana humu JF. Ipo siku.
 
Wewe ni mpumbavu wa Karne. Huna akili hata moja .
Ina maana hujamwelewa mtoa mada?
Ni kizazi ambacho kilizaliwa kwa njia isiyo sahihi. So hawezi akaelewa huyo kuna mauchafu yalichanganyika na ubongo wake wakati wake....
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

View attachment 2594741
Wote hao ni waislam na wamefunga ramadhani
 
Jitahidi kuutumia vzr ubongo wako ili ukusaidie kuwaza kwa kina.

Naona umewaza juu juu sana kwa kiwango ambacho hata kutatua changamoto za familia yako sidhani kama unamudu (Kama ni mtu mzima lkn).

Sorry naomba kujua jinsia yako kabla sjaendelea kutoa mawazo yangu juu ya hii mada.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Fakamilo njoo hapa room uje umevaa dela kurahisisha. Kuna njemba zinakusubiria ili uwe fakamilozed.
 
hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
Ni UPUMBAVU WENU WAAFRIKA. HAMNA AKILI NA NI MANYANI. KWANI NIKIJA KUKUPA WEWE KISU NA MDOGO WAKO KISU KISHA NIKAWAAMBIA GOMBANENI MTAANZA KUGOMBANA? MTAKUWA WAPUMBAVU SANA. MANYANI HAMNA AKILI.
 
Punguzeni kuzaa,resources za nchi sio ardhi peke yake.overpopulation ndio sababu ya vita nyingine duniani.Nature will always find a way to balance itself out.to many people are fighting for very little that's left
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] india, china, Nigeria kungekua na vita.
 
Back
Top Bottom