Kwa hili jibu lako tu basi inatosha, nmeshaitambua jinsia yako. Sina haja ya kukuelewesha wala kukulaum kwa lolote, maana tayari huna uwezo wa kuwa sawa tena.Fakamilo njoo hapa room uje umevaa dela kurahisisha. Kuna njemba zinakusubiria ili uwe fakamilozed.
Hamwezi kuwa imara wakati nuts zimelegea. Uimara mtatoa wapi?Kwa hili jibu lako tu basi inatosha, nmeshaitambua jinsia yako. Sina haja ya kukuelewesha wala kukulaum kwa lolote, maana tayari huna uwezo wa kuwa sawa tena.
Endelea kupigania haki zenu ila acha kupotosha umma kwa kupakaza sum uafrika. We are better than before, na tuko imara haswa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Umenga'ania sana Ugaidi.Nisadie hapo unamwona Mzungu yeyote akifanya hayo maunyama?
Wacha Ugaidi. U need to Stop.Hamwezi kuwa imara wakati nuts zimelegea. Uimara mtatoa wapi?
Mkuu hujaona mkono wa Wagner(Mrusi) Vs majeshi ya serikali?Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
Kama kuna mtu hakumuelewa mleta mada, akaja na hapa kwako hajakuelewa.Afrika inadumaa kwa sababu hatujitambui. Hatujui hata priorities. Vitu vidogo vya kijinga tunavipa umuhimu mkubwa, matatizo makubwa tunayapuuza.
Tatizo kubwa la kwanza na msingi la Afrika ni mifumo mibaya ya kiutawala. Mifumo mibaya ya kiutawala imesababisha umaskini usioisha, vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombania kidogo kinachozalishwa, matatizo makubwa ya ajira, uwekezaji mdogo, na uwepo wa viongozi matapeli na wevi wakubwa wa mali za umma.
Lakini kwa uduni wa akili tunageuza kama vile ushoga ndiyo tatizo kubwa la Afrika wakati hakuna anayelazimishwa kuwa shoga. Katika maisha yangu yote ya kuzunguka Tanzania, ni mara mbili tu nilioneshwa vijana wawili, kama miaka 10 iliyopita, nikaambiwa hao ni mashoga. Walikuwa wamejipodoa, wamekata nyusi, ukiwaona huelewi kama ni wanaume au wanawake. Nikauliza kama walikuwa wasanii, ndipo nikaambiwa kuwa ni mashoga. Hao niliowaona mie ni wawili, lakini hakuna siku ambayo itaisha usikutane na Watanzania maskini kabisa ambao hawajui leo jioni au kesho watakula nini.
Kwanza, kama kweli kuna watu wanaupigia promotion ushoga, kwa watu walio maskini kabisa, ni rahisi kushawishika na kukubali kama jambo hilo litampa kipato kizuri na cha uhakika. Siku hizi tunaambiwa kuwa wapo mpaka vijana watanashati kabisa waliokubali kuwekwa kinyumba na baadhi ya akina mama wenye kipato. Na kichocheo cha hayo ni umaskini, na mtindo wa baadhi ya vijana kupenda maisha mtelemko.
Twende kwenye mambo makubwa na ya msingi, ingawa hatutakiwi kuyapuuza mambo madogo kama ushoga, pia.
Unashangaa spika anakataa kujadili ubadhirifu wa pesa ya umma, wenye athari kwa Watanzania wote, halafu anakubali kujadili ushoga ambao unawaathiri watu wachache. Kwa nini mambo madogo tuyape uzito mkubwa lakini makubwa, kwa sababu yanawahusu au yanawagusa ndugu na marafiki zao, yanapigwa teke?
Itoshe kuitwa mjinga sababu una upeo mdogo wa akili.Mbona ni simple tu, ilikua ni swala la kumjibia yeye ni jinsia gani kama ww unaitambua.
Naona umeamua kumkingia kifua bila kumjibia swali lenyewe.
Haya ngoja twende pamoja naww, vipi unaweza ukanijibu ni kivipi mapigano ya Sudani yamehusiana na Ushoga ambao ndugu yako(mtoa mada) amehusianisha?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapo yametumika mawe tu sijaona hata bunduki nadhani tatizo liko akilini sio silahaKitendo cha sisi kukubali hizo silaha na kuanza kuuana (kama ni kweli) bado sisi ni WAPUMBAVU hatujitambui
Duuh Hawa waliovaa uniform ni waasi au wanajeshi wa serikali?Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
Akili kisoda. PoleSiku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
Inafikirisha sana anyway!Mtu anachukia ushoga alaf anaua , anaroga, huyo huyo ni mzinzi , ni kichekesho cha karne
Duuuu hatari aiseeSiku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
Ni vyema kutafuta kweli ushahidi usio na mashaka.Ndio, Fimbo zimetoka kwa wakoloni.Afrika hatukuwa tunachapana fimbo. Fanya utafiti wako vizuri ujiridhie. Kuna utafiti umefanywa na Muingereza kuhusu canning na sio wa mufa mrefu, tafuta vizuri utaupata. Hayo ya kupigwa mawe nayo ni matokeo ya waarabu. Jaribuni muwe mnafanya utafiti badala ya kukubali maneno yanayotupwa tu na mnakariri.
Jamiiforums nayo, kwa mtindo huu itakuwa kama buzzed. dot kom.
Kuna mods hatari sana humu JF. Ipo siku.
Sema tu umeamua kufunga akili yako kwa waafrika,hivi hujawahi kuona/sikia matukio ya kinyama kutoka kwa wazungu/waarabu na race zinginezo.Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.
Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.
Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.
Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.