Hali hii Sudan inatisha. Hapa sijamwona Mmarekani wala Mrusi. Ni Waafrika wenyewe wanafanyiana huu ukatili

Hali hii Sudan inatisha. Hapa sijamwona Mmarekani wala Mrusi. Ni Waafrika wenyewe wanafanyiana huu ukatili

Fakamilo njoo hapa room uje umevaa dela kurahisisha. Kuna njemba zinakusubiria ili uwe fakamilozed.
Kwa hili jibu lako tu basi inatosha, nmeshaitambua jinsia yako. Sina haja ya kukuelewesha wala kukulaum kwa lolote, maana tayari huna uwezo wa kuwa sawa tena.

Endelea kupigania haki zenu ila acha kupotosha umma kwa kupakaza sum uafrika. We are better than before, na tuko imara haswa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine ni bora mkawa neutral. Badala ya kulaani ngozi nyeusi tulaani ubinadamu. Je, na hawa ni waafrika weusi? Onyo kama huna kifua usiifungue, maana hutalala usiku
 
Kwa hili jibu lako tu basi inatosha, nmeshaitambua jinsia yako. Sina haja ya kukuelewesha wala kukulaum kwa lolote, maana tayari huna uwezo wa kuwa sawa tena.

Endelea kupigania haki zenu ila acha kupotosha umma kwa kupakaza sum uafrika. We are better than before, na tuko imara haswa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hamwezi kuwa imara wakati nuts zimelegea. Uimara mtatoa wapi?
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

View attachment 2594741
Mkuu hujaona mkono wa Wagner(Mrusi) Vs majeshi ya serikali?
Mrusi na Marekani wanachochea vita hii!
Ila sisis waafrka ndio wajinga wakubwa kuwakubalia kututumia kupigana vita kwa ajili yao.
 
Afrika inadumaa kwa sababu hatujitambui. Hatujui hata priorities. Vitu vidogo vya kijinga tunavipa umuhimu mkubwa, matatizo makubwa tunayapuuza.

Tatizo kubwa la kwanza na msingi la Afrika ni mifumo mibaya ya kiutawala. Mifumo mibaya ya kiutawala imesababisha umaskini usioisha, vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombania kidogo kinachozalishwa, matatizo makubwa ya ajira, uwekezaji mdogo, na uwepo wa viongozi matapeli na wevi wakubwa wa mali za umma.

Lakini kwa uduni wa akili tunageuza kama vile ushoga ndiyo tatizo kubwa la Afrika wakati hakuna anayelazimishwa kuwa shoga. Katika maisha yangu yote ya kuzunguka Tanzania, ni mara mbili tu nilioneshwa vijana wawili, kama miaka 10 iliyopita, nikaambiwa hao ni mashoga. Walikuwa wamejipodoa, wamekata nyusi, ukiwaona huelewi kama ni wanaume au wanawake. Nikauliza kama walikuwa wasanii, ndipo nikaambiwa kuwa ni mashoga. Hao niliowaona mie ni wawili, lakini hakuna siku ambayo itaisha usikutane na Watanzania maskini kabisa ambao hawajui leo jioni au kesho watakula nini.

Kwanza, kama kweli kuna watu wanaupigia promotion ushoga, kwa watu walio maskini kabisa, ni rahisi kushawishika na kukubali kama jambo hilo litampa kipato kizuri na cha uhakika. Siku hizi tunaambiwa kuwa wapo mpaka vijana watanashati kabisa waliokubali kuwekwa kinyumba na baadhi ya akina mama wenye kipato. Na kichocheo cha hayo ni umaskini, na mtindo wa baadhi ya vijana kupenda maisha mtelemko.

Twende kwenye mambo makubwa na ya msingi, ingawa hatutakiwi kuyapuuza mambo madogo kama ushoga, pia.

Unashangaa spika anakataa kujadili ubadhirifu wa pesa ya umma, wenye athari kwa Watanzania wote, halafu anakubali kujadili ushoga ambao unawaathiri watu wachache. Kwa nini mambo madogo tuyape uzito mkubwa lakini makubwa, kwa sababu yanawahusu au yanawagusa ndugu na marafiki zao, yanapigwa teke?
Kama kuna mtu hakumuelewa mleta mada, akaja na hapa kwako hajakuelewa.

Itoshe kumuita mtu huyo ni mwendawazimu.
 
Ubaguzi ni mbaya sana hawa wasudani walianza baguana wao kwa wao wakaigawanya nchi imegawanyika hawa wa sudani ya juu wanaanza kuuwana tena wao kwa wao...
 
Mbona ni simple tu, ilikua ni swala la kumjibia yeye ni jinsia gani kama ww unaitambua.

Naona umeamua kumkingia kifua bila kumjibia swali lenyewe.

Haya ngoja twende pamoja naww, vipi unaweza ukanijibu ni kivipi mapigano ya Sudani yamehusiana na Ushoga ambao ndugu yako(mtoa mada) amehusianisha?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Itoshe kuitwa mjinga sababu una upeo mdogo wa akili.
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

Duuh Hawa waliovaa uniform ni waasi au wanajeshi wa serikali?
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

Akili kisoda. Pole
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

Duuuu hatari aisee
 
Ndio, Fimbo zimetoka kwa wakoloni.Afrika hatukuwa tunachapana fimbo. Fanya utafiti wako vizuri ujiridhie. Kuna utafiti umefanywa na Muingereza kuhusu canning na sio wa mufa mrefu, tafuta vizuri utaupata. Hayo ya kupigwa mawe nayo ni matokeo ya waarabu. Jaribuni muwe mnafanya utafiti badala ya kukubali maneno yanayotupwa tu na mnakariri.

Jamiiforums nayo, kwa mtindo huu itakuwa kama buzzed. dot kom.
Kuna mods hatari sana humu JF. Ipo siku.
Ni vyema kutafuta kweli ushahidi usio na mashaka.
Kama ulikula hujui jeshi la milambo liliitwa Walugaluga .ulizia wanyamwezi nini maana yake kifungo hicho
Jina Hilo waliitwa baada ya kuwauwa maadui wao na kukata viungo vyao ....... Na kuvichomeka kwenye mikuki .
Ujue aliopigana Nao ni wanyamwezi wenzake na wasukuma.
Kanda ya ziwa ilikua desturi waliohisiwa ni washilikina walipelekwa polini na kupigwa na mchi wa kutwangia kichwani.
Kupigwa fimbo ni desturi ya jamii za wsfugaji na walitumia kama silaha ya mapambano.
Unawajua sungusungu jinsi wslivyo Fanya miaka ya 1983/85 Nao wslifundishwa na wazungu?
Soma kitabu cha chinua Achebe.
Unyama ulivyo kua ukifanyika kabla ya wazungu hawajaja.
Si kwamba wazungu au waarabu walifanya yote mabaya na mazuri yamo tena yanaonekana mpaka Leo .
Waarabu ndio walioanzisha miji mingi ambayo ipo mpaka Leo .
Wazungu walioanzisha tawala kama Tanganyika na kuleta Sheria ukitenda kosa unashitakiwa na kuhukumiwa kifungo.
Hayo ulio ona kwenye video hiyo fupi ndivyo tulivyokua tukiishi kugombea itawala Kwa gharama za roho za watu kabla ya wazungu hawajaja
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.

Sema tu umeamua kufunga akili yako kwa waafrika,hivi hujawahi kuona/sikia matukio ya kinyama kutoka kwa wazungu/waarabu na race zinginezo.
Hata Israel hapo hujasikia?
 
Back
Top Bottom