Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uhuru kwa sababu umeamua kufanya hivyoKutoka kwenye msemo wa Charles Bukowski
"Ukiwa hauna mtu anayekuamsha asubuhi, hakuna anayekusubiri usiku, ukiwa unafanya unachotaka huu tunaita ni upweke au uhuru"
Dah🤣Ni uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
Manina ha ha haNi uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
Mtoto una tabia mbaya wewe.Ni uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
Wala sio upweke jirani, hiyo ni kero kabisaa..!!Huo ni upweke jamani tuacheni kujifariji😃😂
Mwenyewe 😹😹Manina ha ha ha
Uhuru huo.Kutoka kwenye msemo wa Charles Bukowski
"Ukiwa hauna mtu anayekuamsha asubuhi, hakuna anayekusubiri usiku, ukiwa unafanya unachotaka huu tunaita ni upweke au uhuru"
Duh!Ni uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
Ilaaa😃😂😂😂Wala sio upweke jirani, hiyo ni kero kabisaa..!!
Bora kuamshwa na alarm kuliko kuamshwa na dyudyu 😹😹 SIPENDIII
Siku zote uhuru huja na upweke.Kutoka kwenye msemo wa Charles Bukowski
"Ukiwa hauna mtu anayekuamsha asubuhi, hakuna anayekusubiri usiku, ukiwa unafanya unachotaka huu tunaita ni upweke au uhuru"
Ha ha ha asante,umitaja kistaili kitamu.Mwenyewe 😹😹
Lakini SI unalilaga kishingo upandeWala sio upweke jirani, hiyo ni kero kabisaa..!!
Bora kuamshwa na alarm kuliko kuamshwa na dyudyu 😹😹 SIPENDIII