Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah nimechekaaMambo ya binadamu hayaeleweki yanachanganya sana ndio maana hata alietuumba kakimbia akaona msinichanganye..🤣
Mapenz ni hekaheka tupuKuna heka heka gani mtu kukusubiri unapotoka kwenye shughuli zako, unapokewa kwa hugs, kukuamsha asubuhi kwa cuddling [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya binadamu hayaeleweki yanachanganya sana ndio maana hata alietuumba kakimbia akaona msinichanganye..[emoji1787]
akili zinawaza sex tu muda woteNi uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
NYerere alisema "uhuru usio na mipaka huo ni utumwa" kwa kifupi huo ni zaidi ya upweke.Huo ni upweke jamani tuacheni kujifariji😃😂
🤣🤣🤣🤣we bangi sanaNi uhuru, sio limtu linakuamsha asubuhi likupige chuma mboga halafu huna stimu PUMBAVU 😡
Wewe ni mtumwa wa nafsi yako na muoga.NYerere alisema "uhuru usio na mipaka huo ni utumwa" kwa kifupi huo ni zaidi ya upweke.
Ndio maana mimi yf aliponiletea zengwe na kuondoka kuniacha peke yangu nyumbani ,nikaona acha nirud kwa wazee temporary maana ghafla nikajikuta ni uhuru wa hatari almanusura nianze kuingiza wanawake ndani.
Nikaona acha niende mahala ambako nitakuwa na hofu ya kuish kwa utaratibu nisije nikapotea😂
mtumwa wa nafsi kwa lugha sahihi ni "disciplined person". Yan amefungwa na principles zake. Sio kitu kibaya.Wewe ni mtumwa wa nafsi yako
Ni kwel ,mimi ni muoga sana wa maishabya hovyona muoga.