Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Shida kubwa ya somalia ni usalama hakunaWasomali wasingejazana uku Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida kubwa ya somalia ni usalama hakunaWasomali wasingejazana uku Tanzania
Bora ugali wa chumvi kwenye amani kuliko ugali kuku vitani.Kama ni kuzuri kwanini Kila siku wanakimbia kwao? Umewahi kuona watu wanakimbilia Somalia?
Ukienda Ethiopia si ndo utasema ni mbinguni ila Kila siku Ethiopians wanashikwa kwenye malori hapa.
Grass is always greener on the other side.
Regional disparity zipo sehemu nyingi sana duniani, ndio maana ukienda Addis Ababa utasema capital ya Africa ila ukiingia ndani ndani huko Ogaden utasema hii nchi ni maskini wa kutupwa!!Kama ni kuzuri kwanini Kila siku wanakimbia kwao? Umewahi kuona watu wanakimbilia Somalia?
Ukienda Ethiopia si ndo utasema ni mbinguni ila Kila siku Ethiopians wanashikwa kwenye malori hapa.
Grass is always greener on the other side.
Mi baba'ko nakuzaa kabisa wewe kuwa na adabu.Wewe dada sikia, Mogadishu Somalia nimewahi kufika kwa project maalum. Kuanzia Jaabad hadi Degmada kuna maelfu ya plots zimepimwa na kutengenezwa barabara ila hakuna nyumba wala mkazi yoyote. Kifupi wao miundombinu inaanza alafu watu ndio wanafatia.
Ni maelfu ya plots yapo tupu na bado wanaendelea kupima na kuchonga barabara
Huyo sio mkuu ni dadaIlikuwaje mkuu? Tupe mkasa!
Niliquote usemi wa mtukufu Rais usemao "hili nalo nendeni mkalitizame" nikala ban.Ilikuwaje mkuu? Tupe mkasa!
Siwezi kuwa na baba Kama weweMi baba'ko nakuzaa kabisa wewe kuwa na adabu.
Pili umeweka chumvi nyingi sana.
Mi pia siwezi kuwa na mtoto kama wewe.Siwezi kuwa na baba Kama wewe
Chumvi nimeiweka wapi? Alafu mm siisifii Somalia kwa kuwa najua kilichopo huko. Nilichosifia ni uwezo wao wa kupima viwanja maelfu na kuchonga barabara kabla ya watu kujenga au kuhamia.
Nakutahadharisha mkuu... hii ndo JF ya 2022!!Hili mkalisimamie na la mchele mkalitizame
Huwezi kuwa na mtoto mwenye akili Kama mimiMi pia siwezi kuwa na mtoto kama wewe.
Pili Somalia umeikuza sana.
Mada ilikuwa inahusu nini hasa?Niliquote usemi wa mtukufu Rais usemao "hili nalo nendeni mkalitizame" nikala ban.
Hayo maendeleo ya Somalia yako wapi!?..maendeleo yanapimwaje!?Sasa ulitaka awekeje. Yaan unafananisha na Sudan ya kusin hii iliyopata uhuru juzi juzi tu hapa. make wao tangu wapate uhuru wanapigana. Make Ile ya warabu inatuzidi maendleo mbali sana.
Hahahahaha countrywide nawewe unajiweka katika kundi la watu wenye akili? Hahahahahaha!!Huwezi kuwa na mtoto mwenye akili Kama mimi
Alafu wewe dada sikia, najua life la Somalia hakuna nilipoikuza. Nimezungumzia kipengele hiko Cha kwenye kupima plots. Ambacho huelewi nini?
hahah, hivi kumbe ni inshu serious?Nakutahadharisha mkuu... hii ndo JF ya 2022!!
Watu walikua wanalalamikia gharama za maisha na kero za NIDA.Mada ilikuwa inahusu nini hasa?
Ulifikiri natania?hahah, hivi kumbe ni inshu serious?
Na kama mambo yataenda vizuri itamuita Rais wa somalia akajieleze bungeni!