Hali ilivyo nchini Somalia

Hali ilivyo nchini Somalia

Kama ni kuzuri kwanini Kila siku wanakimbia kwao? Umewahi kuona watu wanakimbilia Somalia?

Ukienda Ethiopia si ndo utasema ni mbinguni ila Kila siku Ethiopians wanashikwa kwenye malori hapa.

Grass is always greener on the other side.
Bora ugali wa chumvi kwenye amani kuliko ugali kuku vitani.

Huko hata wanunue kilo moja kwa sh 200 bado watu watakimbia. Kila siku mabomu yanalipukan nani sasa atakaa.
 
Kama ni kuzuri kwanini Kila siku wanakimbia kwao? Umewahi kuona watu wanakimbilia Somalia?

Ukienda Ethiopia si ndo utasema ni mbinguni ila Kila siku Ethiopians wanashikwa kwenye malori hapa.

Grass is always greener on the other side.
Regional disparity zipo sehemu nyingi sana duniani, ndio maana ukienda Addis Ababa utasema capital ya Africa ila ukiingia ndani ndani huko Ogaden utasema hii nchi ni maskini wa kutupwa!!
 
Wewe dada sikia, Mogadishu Somalia nimewahi kufika kwa project maalum. Kuanzia Jaabad hadi Degmada kuna maelfu ya plots zimepimwa na kutengenezwa barabara ila hakuna nyumba wala mkazi yoyote. Kifupi wao miundombinu inaanza alafu watu ndio wanafatia.

Ni maelfu ya plots yapo tupu na bado wanaendelea kupima na kuchonga barabara
Mi baba'ko nakuzaa kabisa wewe kuwa na adabu.

Pili umeweka chumvi nyingi sana.
 
Siwezi kuwa na baba Kama wewe
Chumvi nimeiweka wapi? Alafu mm siisifii Somalia kwa kuwa najua kilichopo huko. Nilichosifia ni uwezo wao wa kupima viwanja maelfu na kuchonga barabara kabla ya watu kujenga au kuhamia.
Mi pia siwezi kuwa na mtoto kama wewe.

Pili Somalia umeikuza sana.
 
Hiyo alshabaab unaipotezea utadhani ni kitu kidogo....imagine umekaa zako unakula mkate mgahawani mara paap! majamaa yanavamia na silaha yanakusanya Kodi ya kichwa kama jina lako sio la kiarabu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220822-165450_Chrome.jpg
    Screenshot_20220822-165450_Chrome.jpg
    61.6 KB · Views: 6
Sasa ulitaka awekeje. Yaan unafananisha na Sudan ya kusin hii iliyopata uhuru juzi juzi tu hapa. make wao tangu wapate uhuru wanapigana. Make Ile ya warabu inatuzidi maendleo mbali sana.
Hayo maendeleo ya Somalia yako wapi!?..maendeleo yanapimwaje!?
 
Huwezi kuwa na mtoto mwenye akili Kama mimi
Alafu wewe dada sikia, najua life la Somalia hakuna nilipoikuza. Nimezungumzia kipengele hiko Cha kwenye kupima plots. Ambacho huelewi nini?
Hahahahaha countrywide nawewe unajiweka katika kundi la watu wenye akili? Hahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom