Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Moja kati ya vitu pekee watu walitamani kuvisikia ni kurejea kwa thamani na heshima ya pesa za Tanzania na Hii ndio awamu pekee katika miongo 30 iliyopita ambapo watanzania tumekua na heshima na pesa.
Ilifika kipindi mpaka shilingi hamsini,mia na mia mbili zilikosa thamani na kuonekana ni usumbufu mfukoni. Ila kwa sasa hali ilivyongumu mia mbili imepata nguvu mpaka na vocha wametutengenezea na nguvu ya buku imerudi mahali pake hapa hapa mjini asikwambie mtu.
Ukitaka kujua pesa ina thamani mtizame abiria aliebakisha chench ya shilingi mia kwa kondakta anavyong'aka wakati kipindi ca nyuma alikua anaipotezea tu.
Kwa dalili inavyoelekea wachumi wengi wametabiri uwezekano wa sarafu za shilingi tano,kumi na ishirini kurudi katika mzunguko mwishoni mwa mwaka huu na kutumiwa katika biashara.
Ilifika kipindi sarafu hizi watu walizishusha thamani na kuzitumia kwenye shughuli za kiganga hata baadhi ya wauza maduka waliogopa kuzipokea kuogopa chuma ulete ila sasa zinarudi rasmiii..
Thanks kwa awamu hii kuonyesha jinsi gani pesa inafaa kutumiwa
Kama una sarafu yako itunze soon December utaitumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilifika kipindi mpaka shilingi hamsini,mia na mia mbili zilikosa thamani na kuonekana ni usumbufu mfukoni. Ila kwa sasa hali ilivyongumu mia mbili imepata nguvu mpaka na vocha wametutengenezea na nguvu ya buku imerudi mahali pake hapa hapa mjini asikwambie mtu.
Ukitaka kujua pesa ina thamani mtizame abiria aliebakisha chench ya shilingi mia kwa kondakta anavyong'aka wakati kipindi ca nyuma alikua anaipotezea tu.
Kwa dalili inavyoelekea wachumi wengi wametabiri uwezekano wa sarafu za shilingi tano,kumi na ishirini kurudi katika mzunguko mwishoni mwa mwaka huu na kutumiwa katika biashara.
Ilifika kipindi sarafu hizi watu walizishusha thamani na kuzitumia kwenye shughuli za kiganga hata baadhi ya wauza maduka waliogopa kuzipokea kuogopa chuma ulete ila sasa zinarudi rasmiii..
Thanks kwa awamu hii kuonyesha jinsi gani pesa inafaa kutumiwa
Kama una sarafu yako itunze soon December utaitumia
Sent using Jamii Forums mobile app