Hali ilivyo soko la mabibo inasikitisha sana serikali fanyeni jambo hapa

Hali ilivyo soko la mabibo inasikitisha sana serikali fanyeni jambo hapa

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
hii hali sio nzuri na haipendezi kabisa hapo mabibo ni mjini kabisa ila mvua kidogo tu hali uwa kama hivi hapo tunahatarisha maisha ya watu wengi sana maana hilo soko linategemewa karibu na dar zima..

 
Ndio ujue bongo ni jiji la mchongo,yaani hapo ni uso wa jiji kabisa ila Pako hivyo,unadhani wazungu Kutoka monako wakitua bongo Kwa utalii watatuonaje?Si watadhani waTz wote ni mbuzi?Maana siamini mtu mwenye Akili kuuza na kununua eneo Hilo..Utaskia maisha sijui kutafuta,blah blah blah hustleling,bullshit wabongo wabadilike,yaani washamba wajanja wengi.
 
Ndio ujue bongo ni jiji la mchongo,yaani hapo ni uso wa jiji kabisa ila Pako hivyo,unadhani wazungu Kutoka monako wakitua bongo Kwa utalii watatuonaje?Si watadhani waTz wote ni mbuzi?Maana siamini mtu mwenye Akili kuuza na kununua eneo Hilo..Utaskia maisha sijui kutafuta,blah blah blah hustleling,bullshit wabongo wabadilike,yaani washamba wajanja wengi.
 
Ndio ujue bongo ni jiji la mchongo,yaani hapo ni uso wa jiji kabisa ila Pako hivyo,unadhani wazungu Kutoka monako wakitua bongo Kwa utalii watatuonaje?Si watadhani waTz wote ni mbuzi?Maana siamini mtu mwenye Akili kuuza na kununua eneo Hilo..Utaskia maisha sijui kutafuta,blah blah blah hustleling,bullshit wabongo wabadilike,yaani washamba wajanja wengi.
Vitu vya ovyo kabisa vinaaibisha utu wetu sana.
 
Back
Top Bottom