Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Afu msimu mje na propaganda zenu za kijinga Simba inabebwa. Kwahyo huoni kwamba usajili wenu haujatulia. Tunataka msaini wachezaji wazuri angalao hata dabi iwe na msisimko sio mtu unaenda uwanjani unajua Utopolo lazma ifungwe na mnyama.Huu uzi wanaoshangaa ni watu wa simba kwanini, sijauelewa