Hali ingekuwaje endapo matumizi ya ARV yangesimamishwa?

Hali ingekuwaje endapo matumizi ya ARV yangesimamishwa?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
- JF, Insta, facebook na magazeti vyote, vingejaa picha na jumbe za Tanzia.

- Akaunti nyingi za kijamii hasa za watu maarufu kama wanamuziki wasanii wanasiasa mainfluencers zingesimama kufanya kazi.

- Baa kubwakubwa na sehemu nyingi za starehe zingefungwa maana wamiliki na baadhi ya wahudumu nguli hawajiwezi tena wamerudishwa makwao kwa uangalizi wa afya zao au wameshatangulia mbele za haki.

- Mitaa na vichochoro vingi vingejaa matenti ya wadau wakishiriki shughuli za wapendwa wao.

- Nyumba nyingi zingekuwa na walau mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa usioeleweka.

- Nyumba nyingi zingebaki chini ya uangalizi wa watoto maana wazazi hawajiwezi au wameshatangulia mbele za haki.

- Ambulance na mahospitali yangekuwa bize kushughulikia wahanga, homa zingine zingasahaulika kwanza.

- Baadhi ya Ofisi kubwakubwa za serikali bunge mahakama na za binafsi zingefungwa kwa kupoteza watendaji wake muhimu au wahusika kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.

- Humu Jf nyuzi za mambo ya mahaba zingepungua kama sio kwisha kabisa.

- Humu Jf nyuzi za kutukuza na kusifu utukufu mkuu wa muumba zinģetamalaki na kupata mashiko ya hali ya juu.

- Kungekuwa na misururu mikubwa ya costa za abiria hasa kutoka Dar kwenda mikoani zikisafirisha wapendwa wao wakiwa wagonjwa au wafu kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.

Wakuu HIV ipo, tujilinde!
 
- JF, Insta, facebook na magazeti vyote, vingejaa picha na jumbe za Tanzia.

- Akaunti nyingi za kijamii hasa za watu maarufu kama wanamuziki wasanii wanasiasa mainfluencers zingesimama kufanya kazi.

- Baa kubwakubwa na sehemu nyingi za starehe zingefungwa maana wamiliki na baadhi ya wahudumu nguli hawajiwezi tena wamerudishwa makwao kwa uangalizi wa afya zao au wameshatangulia mbele za haki.

- Mitaa na vichochoro vingi vingejaa matenti ya wadau wakishiriki shughuli za wapendwa wao.

- Nyumba nyingi zingekuwa na walau mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa usioeleweka.

- Nyumba nyingi zingebaki chini ya uangalizi wa watoto maana wazazi hawajiwezi au wameshatangulia mbele za haki.

- Ambulance na mahospitali yangekuwa bize kushughulikia wahanga, homa zingine zingasahaulika kwanza.

- Baadhi ya Ofisi kubwakubwa za serikali bunge mahakama na za binafsi zingefungwa kwa kupoteza watendaji wake muhimu au wahusika kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.

- Humu Jf nyuzi za mambo ya mahaba zingepungua kama sio kwisha kabisa.

- Humu Jf nyuzi za kutukuza na kusifu utukufu mkuu wa muumba zinģetamalaki na kupata mashiko ya hali ya juu.

- Kungekuwa na misururu mikubwa ya costa za abiria hasa kutoka Dar kwenda mikoani zikisafirisha wapendwa wao wakiwa wagonjwa au wafu kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.

Wakuu HIV ipo, tujilinde!
hata ule uzi wa kula kwa masihara usingekuwepo badala yake kungekuwa na uzi wa "ukimwi ni huu"
 
- JF, Insta, facebook na magazeti vyote, vingejaa picha na jumbe za Tanzia.

- Akaunti nyingi za kijamii hasa za watu maarufu kama wanamuziki wasanii wanasiasa mainfluencers zingesimama kufanya kazi.

- Baa kubwakubwa na sehemu nyingi za starehe zingefungwa maana wamiliki na baadhi ya wahudumu nguli hawajiwezi tena wamerudishwa makwao kwa uangalizi wa afya zao au wameshatangulia mbele za haki.

- Mitaa na vichochoro vingi vingejaa matenti ya wadau wakishiriki shughuli za wapendwa wao.

- Nyumba nyingi zingekuwa na walau mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa usioeleweka.

- Nyumba nyingi zingebaki chini ya uangalizi wa watoto maana wazazi hawajiwezi au wameshatangulia mbele za haki.

- Ambulance na mahospitali yangekuwa bize kushughulikia wahanga, homa zingine zingasahaulika kwanza.

- Baadhi ya Ofisi kubwakubwa za serikali bunge mahakama na za binafsi zingefungwa kwa kupoteza watendaji wake muhimu au wahusika kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.

- Humu Jf nyuzi za mambo ya mahaba zingepungua kama sio kwisha kabisa.

- Humu Jf nyuzi za kutukuza na kusifu utukufu mkuu wa muumba zinģetamalaki na kupata mashiko ya hali ya juu.

- Kungekuwa na misururu mikubwa ya costa za abiria hasa kutoka Dar kwenda mikoani zikisafirisha wapendwa wao wakiwa wagonjwa au wafu kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.

Wakuu HIV ipo, tujilinde!
Kwani tayari maruweriwe yameanza kusambaa kwa sababu ya hatua ya yule mzee wa miaka 80?Au nami nimepitiwa na ndoto mchana huu?
 
- JF, Insta, facebook na magazeti vyote, vingejaa picha na jumbe za Tanzia.

- Akaunti nyingi za kijamii hasa za watu maarufu kama wanamuziki wasanii wanasiasa mainfluencers zingesimama kufanya kazi.

- Baa kubwakubwa na sehemu nyingi za starehe zingefungwa maana wamiliki na baadhi ya wahudumu nguli hawajiwezi tena wamerudishwa makwao kwa uangalizi wa afya zao au wameshatangulia mbele za haki.

- Mitaa na vichochoro vingi vingejaa matenti ya wadau wakishiriki shughuli za wapendwa wao.

- Nyumba nyingi zingekuwa na walau mgonjwa mmoja mwenye ugonjwa usioeleweka.

- Nyumba nyingi zingebaki chini ya uangalizi wa watoto maana wazazi hawajiwezi au wameshatangulia mbele za haki.

- Ambulance na mahospitali yangekuwa bize kushughulikia wahanga, homa zingine zingasahaulika kwanza.

- Baadhi ya Ofisi kubwakubwa za serikali bunge mahakama na za binafsi zingefungwa kwa kupoteza watendaji wake muhimu au wahusika kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi mwenzao.

- Humu Jf nyuzi za mambo ya mahaba zingepungua kama sio kwisha kabisa.

- Humu Jf nyuzi za kutukuza na kusifu utukufu mkuu wa muumba zinģetamalaki na kupata mashiko ya hali ya juu.

- Kungekuwa na misururu mikubwa ya costa za abiria hasa kutoka Dar kwenda mikoani zikisafirisha wapendwa wao wakiwa wagonjwa au wafu kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.

Wakuu HIV ipo, tujilinde!
HIV ni janga
 
Hatari sana kaka....
Jobo asingekuwepo hadi leo
Jobo kimbungaaa au jobo mgeni ndugu? Kwani ninsvyojua leo Jobo nimjuae anahudumia shamba lake la mikorosho na mizabibu.Ila nisichojua tu ni kama lile rungu lake bado analitumia kukong'ota vichwa au vibuyu vya wanaokinzana naye kimawazo na kimtazamo?
 
Back
Top Bottom