Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.