Tetesi: Hali mbaya uakandarasi KONOIKE yabwaga manyanga, yafunga ofisi Tanzania.

Tetesi: Hali mbaya uakandarasi KONOIKE yabwaga manyanga, yafunga ofisi Tanzania.

Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
 
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Hiyo ni kawaida na wala sio wizi, Mataifa yote makubwa huwa yanafanya hivyo. Ukitaka naww fanya
 
Hiyo ni kawaida na wala sio wizi, Mataifa yote makubwa huwa yanafanya hivyo. Ukitaka naww fanya
Wameshaiba sana.. Coz ata kandarasi walizokuwa wanapewa zingine walikuwa hawazikamilishi
 
Acha uvivu wa kusoma.

Nimekupa link halafu bado unataka undani wa kesi?

Gonga hiyo link na utapata undani wa kesi.
Hiyo link hata wewe inaelekea hujaisoma.
Unachojua ni copy and paste.

Swali uliloulizwa hujalijibu, hata kwa kifupi kesi ni ya kitu gani?
 
Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
Konoike na Panasonic si ajabu kufunga virago mkuu,hawa walishajichokea siku nyingi,waondoke tu.
 
Konoike na Panasonic si ajabu kufunga virago mkuu,hawa walishajichokea siku nyingi,waondoke tu.
AkilI kama hizi ni zawadi ya ccm wala hutamani kushughulisha akili yako kujua sababu ya Panasonic kuondoka.unakariri ujinga wa jamaa yenu
 
Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
konoike toka walipovurunda kilwa road na kutuwekea kashata za njugu,wamekua blacklisted,hawapati kazi,kuna haja gani ya kubaki na ofisi kazi hakuna?
waende tu
 
Back
Top Bottom