Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Uchochezi huoMkuu wakipiga mnada mitambo nishtue nichukue grader mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchochezi huoMkuu wakipiga mnada mitambo nishtue nichukue grader mbili
Hakuna mtu mjinga wa kulike uoza na ujinga,nchi mnaipeleka kuzimuAcha uvivu wa kusoma.
Nimekupa link halafu bado unataka undani wa kesi?
Gonga hiyo link na utapata undani wa kesi.
[emoji3] [emoji2] [emoji1]Tembeeni vifua mbere
Wale wanaopigwa Tanganyika jeki na mh. Aweso?Tunataka wakandarasi wazawa
Tupo kwenye laiti tilaki. Mimi ni mzilamkendeTembeeni vifua mbere
"We are one the raiti traki"Tunataka wakandarasi wazawa
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
Huo nao ni wizi au masharti ya ufadhili?Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Konoike wameishitaki Jamhuri kwenye mahakama nchini Marekani halafu unategemea Jamhuri itawapa tena kazi za Ujenzi?
Hii ilikuwa ni lazima tu wabwage manyanga na kurudi kwao kama kweli wameondoka.
Soma hapa;
LINK>>>KONOIKE CONSTRUCTION CO. LIMITED v. MINISTRY OF WORKS, TANZANIA et al (1:17-cv-01986), District Of Columbia District Court
Mkuu watu wengine wa ajabu sana.Kwani kushtakiana mahakamani pindi inapotokea sintofahamu si ni jambo la kawaida? Sass kuwekeana bifu ya nini?
Hiyo ni kawaida na wala sio wizi, Mataifa yote makubwa huwa yanafanya hivyo. Ukitaka naww fanyaKonoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Wameshaiba sana.. Coz ata kandarasi walizokuwa wanapewa zingine walikuwa hawazikamilishiHiyo ni kawaida na wala sio wizi, Mataifa yote makubwa huwa yanafanya hivyo. Ukitaka naww fanya
Hiyo link hata wewe inaelekea hujaisoma.Acha uvivu wa kusoma.
Nimekupa link halafu bado unataka undani wa kesi?
Gonga hiyo link na utapata undani wa kesi.
Sasa mtu aliyeiba unamuachaje aondoke hivi hivi bila kumkamata na kumfikisha mahakamani?Wameshaiba sana.. Coz ata kandarasi walizokuwa wanapewa zingine walikuwa hawazikamilishi
Thats whg wamefunga virago..Sasa mtu aliyeiba unamuachaje aondoke hivi hivi bila kumkamata na kumfikisha mahakamani?
Konoike na Panasonic si ajabu kufunga virago mkuu,hawa walishajichokea siku nyingi,waondoke tu.Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
AkilI kama hizi ni zawadi ya ccm wala hutamani kushughulisha akili yako kujua sababu ya Panasonic kuondoka.unakariri ujinga wa jamaa yenuKonoike na Panasonic si ajabu kufunga virago mkuu,hawa walishajichokea siku nyingi,waondoke tu.
konoike toka walipovurunda kilwa road na kutuwekea kashata za njugu,wamekua blacklisted,hawapati kazi,kuna haja gani ya kubaki na ofisi kazi hakuna?Katika hali ambayo si ya kushangaza sana kampuni maarufu ya Kijapani ,KONOIKE, wamefungasha virago na kufunga ofisi zao Tanzania.
Haiko wazi kwa nini KONOIKE wanaondoka lakini hii ni kampuni ya pili ya Kijapani kuondoka Tanzania.
Miezi takriban minne iliyopita, NATIONAL PANASONIC, kampuni iliyokaa Tanzania karibia miaka 50 toka enzi za Mwalimu, nayo ilifungasha virago.
Tunakumbuka redio za mkulima NATIONAL 177 na 277.
Huu mtonyo ni kutoka kwa mdau Wizara inayosimamia zege.
dua la kukuHuo ndio mwanzo wa anguko