Tetesi: Hali mbaya uakandarasi KONOIKE yabwaga manyanga, yafunga ofisi Tanzania.

Tetesi: Hali mbaya uakandarasi KONOIKE yabwaga manyanga, yafunga ofisi Tanzania.

AkilI kama hizi ni zawadi ya ccm wala hutamani kushughulisha akili yako kujua sababu ya Panasonic kuondoka.unakariri ujinga wa jamaa yenu
Mkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu, kama unasema tatizo ni hali mbaya ya ukandarasi?
 
Hivi Unajua Konoike na Panasonic walikuwa economically active kweli,mbona iko wazii.Panasonic walikuwawa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu?
Sijui ya Konoike ila ya Panasonic.ni habari ya yule jamaa aliekuwa na urafiki na watawala wa daslam alietaka Betri.zake.za.chui ndio.zitawale soko nandivyo ilivyotokea
 
Mkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu?
Tembo wetu wanapotea
 
Acha uvivu wa kusoma.

Nimekupa link halafu bado unataka undani wa kesi?

Gonga hiyo link na utapata undani wa kesi.


Na wewe usiwe msahaulifu, umesahau kuwa Mtanzania ukitaka kumficha kitu weka kwenye maandishi?
 
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Sasa pesa si za nchi yao
 
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Mbona Korea nao wanajenga na wakandarasi wao?
 
Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Sasa umeandika nini hapo??
 
Sijui ya Konoike ila ya Panasonic.ni habari ya yule jamaa aliekuwa na urafiki na watawala wa daslam alietaka Betri.zake.za.chui ndio.zitawale soko nandivyo ilivyotokea
Panasonic walikuwa wamebaki kutengeneza betri tu, na nafikiri wasingeweza kuendelea kuwepo sokoni kwa product moja tu hiyo. Waliacha kutengeneza radio na vifaa vingine miaka mingi
 
Ndugu yangu huu ni ubishi ambao sinahakika kama unatusaidia Unaweza kuniambia sababu zakushindwa kutengeneza Bidhaa nyingine unataka kuniambia Betri zao zilikosa soko?
 
Mkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu, kama unasema tatizo ni hali mbaya ya ukandarasi?
Wewe inaelekea hujui kuwa karibia makampuni YOTE ya kichina ni ya Serikali ya China.
 
Siku hizi nchi na ndio anayelambwa
 
Back
Top Bottom