Mkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu, kama unasema tatizo ni hali mbaya ya ukandarasi?AkilI kama hizi ni zawadi ya ccm wala hutamani kushughulisha akili yako kujua sababu ya Panasonic kuondoka.unakariri ujinga wa jamaa yenu
Sijui ya Konoike ila ya Panasonic.ni habari ya yule jamaa aliekuwa na urafiki na watawala wa daslam alietaka Betri.zake.za.chui ndio.zitawale soko nandivyo ilivyotokeaHivi Unajua Konoike na Panasonic walikuwa economically active kweli,mbona iko wazii.Panasonic walikuwawa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu?
Mnara wa baberidua la kuku
Tembo wetu wanapoteaMkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu?
Nchi yenu ipo katika raiti trakiTembeeni vifua mbere
endelea kuotaMnara wa baberi
Acha uvivu wa kusoma.
Nimekupa link halafu bado unataka undani wa kesi?
Gonga hiyo link na utapata undani wa kesi.
Sasa pesa si za nchi yaoKonoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
wakati mnawapiga vita na kuwaona hawafai?Tunataka wakandarasi wazawa
Mbona Korea nao wanajenga na wakandarasi wao?Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Sasa umeandika nini hapo??Konoike ni wezi kama wezi wengine.. Wai ndo walikuwa wanapewa tensa za ujenzi kwenye fedha zilizotolewa msaada na Japani. Maana yake wanarudisha nchini kwao fedha zilizoletwa na nchi yao..
Panasonic walikuwa wamebaki kutengeneza betri tu, na nafikiri wasingeweza kuendelea kuwepo sokoni kwa product moja tu hiyo. Waliacha kutengeneza radio na vifaa vingine miaka mingiSijui ya Konoike ila ya Panasonic.ni habari ya yule jamaa aliekuwa na urafiki na watawala wa daslam alietaka Betri.zake.za.chui ndio.zitawale soko nandivyo ilivyotokea
Yes we need the really .....waliotulia darasani.wakati mnawapiga vita na kuwaona hawafai?
Wewe inaelekea hujui kuwa karibia makampuni YOTE ya kichina ni ya Serikali ya China.Mkuu Panasonic walikuwa active walipokuwa na monopoly,biashara huria ilipoingia walishindwa ku-compete.Likewise Konoike.Sasa unazungumziaje makampuni mengi ya ujenzi ya Kichina na Korea ya Kusini yaliyojaa Tanzania mkuu, kama unasema tatizo ni hali mbaya ya ukandarasi?
Mbere au ulimaanisha mbele?Tembeeni vifua mbere
Mkuu sikujua unakauijinga ka aina Fulani kichwani.Konoike wameishitaki Jamhuri kwenye mahakama nchini Marekani halafu unategemea Jamhuri itawapa tena kazi za Ujenzi?
Hii ilikuwa ni lazima tu wabwage manyanga na kurudi kwao kama kweli wameondoka.
Soma hapa;
LINK>>>KONOIKE CONSTRUCTION CO. LIMITED v. MINISTRY OF WORKS, TANZANIA et al (1:17-cv-01986), District Of Columbia District Court
Lakini si ya Kichina na yanafanya biashara Tanzania?Ni yanani si hoja sana.Wewe inaelekea hujui kuwa karibia makampuni YOTE ya kichina ni ya Serikali ya China.