Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hapa tunajadili nini
Kupasha misuli moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tunajadili nini
Unaongea utafikiri tuko zama za mawe wakati dkk 0 tu google anadhihirisha uharo ulioleta. Kwa nini unapenda kuumbuka ndugu yangu?Hahahaa mbona makasiriko sana mkali inonga Bacca Varane hata kwenye mbao ndefu hajaonekana.
Amekuwa kiboko tena? Si tumekubaliana hersi alifanya biashara kichaa?Sema kiboko ya makipa kama kipa wako hajawahi kutunguliwa na Aziz K pita mbele.. hahahaa
ila swala la mayele kutogusa mpira tangu alipoingia mpk mpira unaisha uliliona mwana yanga mwenzangu?DRC walikua wanakipiga dhidi ya Mauritania leo na kuibuka na jumla ya magoli 3-1 huku mzee wa kutetema na mkali wa kuzifumania nyavu kutoka timu ya Yanga Fiston Kalala Mayele akianzia benchi na kupata angalau dakika 4 za kupasha mwili joto kwani aliingia dakika 86 japo hajatupia chuma chochote.
Huku Fiston akipata nafasi ya kuingia angalau na kupasha mwili joto mchezaji mwenzake toka Simba yeye hakujulikana hata yupo wapi hajapata hata zile dakika za nyongeza za kupasha mwili joto.
Hongera Fistoo nahisi next game utapata muda zaidi.
ila swala la mayele kutogusa mpira tangu alipoingia mpk mpira unaisha uliliona mwana yanga mwenzangu?
Kweli levels zipo mkuu, maana hata Mungu wetu pale msimbazi nae ameishia kukalia mbao za wachezaj wa akiba wa Chipolopolo kwa dak zote 90Kweli kuna levels katika haya maisha. Yaani Mayele ambaye ni kama mungu pale Yanga, huko DRC anaingizwa timu ikishajihakikishia ushindi.
Sijui unamzungumzia mungu yupi huyo ila ni jambo la heri maana nasikia Banda ameshaumia huko Misri.Kweli levels zipo mkuu, maana hata Mungu wetu pale msimbazi nae ameishia kukalia mbao za wachezaj wa akiba wa Chipolopolo kwa dak zote 90
Sawa , ila uko kwenye foleni ya wale aliowasema Manara na Luc Eymael !!!!Hahahaa upumbavu tena kuna kitu nimesoma leo kanasema defence mechanism ya mashabiki wa Simba wengi ni Matusi japo mimi Simba ila najitaidi sana kuficha ujinga wangu sitaki kuwa kati ya wale mashabiki Rage aliwazungumzia.
Aliyeingia hakugusa mpira! 😀Huku Fiston akipata nafasi ya kuingia angalau na kupasha mwili joto mchezaji mwenzake toka Simba yeye hakujulikana hata yupo wapi