Hali ngumu ya Maisha kwa Wananchi: Mwalimu wa Chuo Kikuu amlilia Rais Magufuli anusuru wafanyakazi

Hali ngumu ya Maisha kwa Wananchi: Mwalimu wa Chuo Kikuu amlilia Rais Magufuli anusuru wafanyakazi

Rais, boresha masilahi ya walimu wetu ngazi zote. Kama mnawalipa wakimu wetu wa vyuo vijisenti, waongezeeni hela. Nchi haiwezi kuendelea kwa kuthamini wanasiasa na kuwalipa vizuri huko wataalamu mavyuoni mkiwalipa vipunjepunje
 
Nimeshangaa kuona Profesa anakula mihogo si kwa sababu ya kupenda bali kwa sababu hana hela analia ukata.

Ni aibu sana nchi yenye hela za kulipa wabunge mihela yote hiyo lakini inalipa walimu wetu wa chuo kikuu peanuts
Profesa anapokea mshahara shilingi milioni tano kwa mwezi anazipeleka wapi? kuna mijitu ilipata uprofesa kwa kuloga au vinemo kuanzia huyu mleta mada ni kati ya watu wajinga ambao hawakutakiwa kuajiriwa chuo kikuu wameingia kwa njia za panya

Proffessor ni high income class employee kusema anashindia muhogo kwa mshahara wa milioni tano ni uongo

Mleta mada UDSM wamwachishe kazi upeo wake wa uelewa mdogo

Mtu anapokea milioni tano unasema ana ukata? Jamii forums imevamiwa na wajinga ikiwemo wewe
 
You bear a subservient attitude. Stand firm and fight for your right. Don't beg, but rise up and demand publicly and loud.
 
Anayeamini kupandisha mishahara ndio njia peke ya kuinua maisha ya mtumishi inabidi ajitathimini upya!
SERIKALI MSIPANDISHE MISHAHARA, IMARISHENI THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA! Tunatamani mtu ulienda bureau na SHILINGI za Tanzania 1000 upate angalau dola 2 za kimarekani!
 
Anayeamini kupandisha mishahara ndio njia peke ya kuinua maisha ya mtumishi inabidi ajitathimini upya!
SERIKALI MSIPANDISHE MISHAHARA, IMARISHENI THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA! Tunatamani mtu ulienda bureau na SHILINGI za Tanzania 1000 upate angalau dola 2 za kimarekani!
Mbona bodi ya mikopo wameweka makato ya kushuka kwa thamani ya pesa ili kulinda thamani ya pesa iliyokopwa? (retention fee), kama hilo serikali inalitambua kwa nini kwenye mishahara haiongezi kia mwaka ili kulinda thamani ya pesa ya mtu? - Maana milioni ya leo siyo ilioni ya mwaka 2016
 
Hauoni flyover?
Huoni Midege hewani?
Huoni mabarabara?
Huoni mashule?
Huoni vituovya afya?
Tupo Uchumi wa kati
Shule bure
Huduma za afya bure
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Sasa hivi vitu ni kwa faida ya nani kama watu wanaopaswa kutumia vitu hivi wanaumwa njaa ambayo mwishowe watadedi?
 
Professor hawezi kuandika upuuzi kama huu.Wala professor hawezi kupaita Mlimani Jalalani.Nina wasiwasi na elimu ya huyu mfanyakazi.Unaanzaje kulalamika kula mihogo ilhali kuna wengine wapo mtaani hawana hata hiyo ajira wanashindia mikate siku nzima? Huku ni kukosa uzalendo na dharau kwa wasio na kazi.
Cheap politics Mkuu....ametafuta public stunt sasa ngojea watu wadurusu ma file yake.
 
Acha ujinga, kununua mhogo wa 2000/= ni maamuzi tu ya mtu, siyo ukata! Tuliokulia vijijini tunakushangaa!

Halafu kama mshahara ulionao wa senior lecturer unaona hauwezi hata kukuwezesha kula vizuri basi kichwa chako inabidi ukiondoe ubadirishane na cha wazee vijijini.

Magufuli kadhibiti mfumuko wa bei, hivyo in kind ame'maintain purchasing power za watumishi!
 
Anayeamini kupandisha mishahara ndio njia peke ya kuinua maisha ya mtumishi inabidi ajitathimini upya!
SERIKALI MSIPANDISHE MISHAHARA, IMARISHENI THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA! Tunatamani mtu ulienda bureau na SHILINGI za Tanzania 1000 upate angalau dola 2 za kimarekani!
How can you stabilize your currency given you import more than 90% of goods and services to meet your domestic demands. Unfortunately, the world has moved to soft goods of which Tanzania neither has capacity nor ability to produce. You might have piles of maize of rice, but life would have been a challenging one without just a mobile phone.

Strong supplementary policies by the government to support private sector is vital rather than these cheap ones which ultimately going to put private sector in grave. The government moves in an opposite direction of this reality and therefore I doubt if currency stability will be achievable.
 
Profesa anapokea mshahara shilingi milioni tano kwa mwezi anazipeleka wapi? kuna mijitu ilipata uprofesa kwa kuloga au vinemo kuanzia huyu mleta mada ni kati ya watu wajinga ambao hawakutakiwa kuajiriwa chuo kikuu wameingia kwa njia za panya

Proffessor ni high income class employee kusema anashindia muhogo kwa mshahara wa milioni tano ni uongo

Mleta mada UDSM wamwachishe kazi upeo wake wa uelewa mdogo

Mtu anapokea milioni tano unasema ana ukata? Jamii forums imevamiwa na wajinga ikiwemo wewe
Wakati huo Kibajaji & Msukuma wanakunja 12M. Alafu bado huoni kuna kitu hakipo sawa hapo??
 
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Hivi professor mzima uzalendo unamshinda kabisa
Sijui unalalamika nini
Watanzania inatakiwa tufikie pahala tutangulize maslahi ya nchi kwanza
Professor unajua kabisa zaidi ya theluthi mbili ya mapato ya nchi inaenda kwenye mishahara
Hivi professor hauoni nchi ilivyopendeza?
Hauoni flyover?
Huoni Midege hewani?
Huoni mabarabara?
Huoni mashule?
Huoni vituovya afya?
Tupo Uchumi wa kati
Shule bure
Huduma za afya bure
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam isipokua wapiga dili Ndio wanaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Sijui MATAGA huwa vichwa vyenu vimejaa maji mpk kusoma na kuelewa inawawia vigumu. Mtoa mada si anaongelea wafanyakazi wa serikali na namna mshahara haujaongezeka kwa miaka mitano na gharama za maisha zimepanda?? Unataka mtu awe mzalendo na huku ana njaa?? Umesikia waaapi???? Nyie kwakua ni majobless basi wivu unawasumbua kweli mkisikia watu mishahara haiwatoshi mnaona kila mtu mpiga dili. Mtakufa na jaka moyo acheni husda.
 
Piga kazi Mwalimu,walimu mnapenda kulipa lia sana kwanini?ukilia wewe mwenye mshahara na una uhakika wa kupata chochote mwisho wa mwezi vipi Mimi mwananchi ambaye siko kwenye payroll?

Tumieni elimu mlizo nazo kupata vipato vya ziada
 
Sijui MATAGA huwa vichwa vyenu vimejaa maji mpk kusoma na kuelewa inawawia vigumu. Mtoa mada si anaongelea wafanyakazi wa serikali na namna mshahara haujaongezeka kwa miaka mitano na gharama za maisha zimepanda?? Unataka mtu awe mzalendo na huku ana njaa?? Umesikia waaapi???? Nyie kwakua ni majobless basi wivu unawasumbua kweli mkisikia watu mishahara haiwatoshi mnaona kila mtu mpiga dili. Mtakufa na jaka moyo acheni husda.
Hakuna husda wala jaka la Moyo
Tatizo ni kukosa uzalendo
Hivi wewe unasema maisha yamepanda badala ya kusema maisha yameshuka
Kwa sasa chakula kuanzia mchele na mahindi vipo chini katika historia
Mimi sio jobless
Mimi nipo pembezoni mwa mto Ruvu nalima mboga mboga na mahindi ya kuchoma kila wiki najaza pick up ya bidhaa naenda kuuza mjini
Natii sheria za nchi bila masharti
Nalipa kodi zote
Naishi kama sultani katika nchi yangu
Nyie wajanja janja lazima muumie maana mianya imeziba kabisa
 
Back
Top Bottom