Hali ni mbaya KKKT wanauza magari waliyomnyang'anya Askofu Mwaikali Dayosisi ya konde

Hali ni mbaya KKKT wanauza magari waliyomnyang'anya Askofu Mwaikali Dayosisi ya konde

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
IMG-20230211-WA0005.jpg
 
tupe story kidogo walimnyanganya kivipi? kulikuwa na scandle gani mpaka wakamnyanganya? wengine hatujui
 
tupe story kidogo walimnyanganya kivipi? kulikuwa na scandle gani mpaka wakamnyanganya? wengine hatujui
Story ni ndefu sana hukufatilia mgogoro wa diocis ya konde?
 
Huko kkkt kuna shida saba kuanzia uchu wa sadaka hadi uchu wa madaraka
 
Tuwe na haiba ya kujiweka kando na mitifuano ya taasisi za dini.

Kwa mfano hata sakata la sheikh wa mkoa wa Dar linapaswa kuachwa walimalize huko.

Kuna mahala hekima ituongoze vyema
Hakuna cha haiba, tunawaweka kwenye mitandao kama kawa wao mbona wanahubiri kwa kutoa mifano ya sisi waumini.

Ni vile wao ni viongozi wa dini ila wana hulka, silka na tabia zote za kibinadamu wanapokengeuka tunawanawa vizuri tu.

Yaani sadaka zetu wale na tuwaone aibu tena ebo!
 
Hakuna cha haiba, tunawaweka kwenye mitandao kama kawa wao mbona wanahubiri kwa kutoa mifano ya sisi waumini.

Ni vile wao ni viongozi wa dini ila wana hulka, silka na tabia zote za kibinadamu wanapokengeuka tunawanawa vizuri tu.

Yaani sadaka zetu wale na tuwaone aibu tena ebo!
Muumini aliyechangamka nakuona😅
 
Mmh kkkt kuna nini jmn mbn kila leo kunaibuka kutokuelewana kwenye utawqla
 
Acha uzushi mzee umeilete hi hbr kiushabiki San eti magri aliyokuwa yanayatumia huyo mwaikali ,SAS unatka diocese ibaki na magri mabovu Hadi lini?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mleta habari naona una matatizo sehemu kwenye aina yako ya kutoa taarifa.

Hayo magari alinyang'anywa Mwaikali yalikuwa ya kwake au alirudisha mali ya Dayosisi baada ya kuvuliwa Uaskofu?

Je, wewe kuuza magari yako ni kuwa na hali mbaya?
 
Status "halitembei"
Unataka wakae nayo ya nini sasa. Hata hilo moja linalotembea usikute ni trip moja shamba trip moja garage.
Kwani kutengeneza hawawezi?
Mbona hayakuuzwa hapo kabla..
Hilo la betheri limeharibika lini ????
 
Kwani kutengeneza hawawezi?
Mbona hayakuuzwa hapo kabla..
Hilo la betheri limeharibika lini ????
Kwa hiyo kosa ni kuuza kipindi hiki.
Taasisi zote hata serikali inauza magari yakifikia hatua fulani ya uchakavu mkuu.
 
Back
Top Bottom