Hali ni mbaya KKKT wanauza magari waliyomnyang'anya Askofu Mwaikali Dayosisi ya konde

Hali ni mbaya KKKT wanauza magari waliyomnyang'anya Askofu Mwaikali Dayosisi ya konde

Tuwe na haiba ya kujiweka kando na mitifuano ya taasisi za dini.

Kwa mfano hata sakata la sheikh wa mkoa wa Dar linapaswa kuachwa walimalize huko.

Kuna mahala hekima ituongoze vyema
Nakazia.

Kuna watu wanajichotea laana bila kujua. Sisi kama washirika tunapaswa kuiombea hii migogoro iishe kwa amani badala ya ku-take sides. Ni hatari sana!
 
Utakaaje na liabillities!? Waache wachukue watakao weza kuzifanya current assets
 
Back
Top Bottom