Kuna kijana mmoja japo sikutaka kuwapa hii story, coz ni sad story lakn ngoja niwaelezee kilichomtokea!!
Wakati wa usaili flani, zilikuja Cv na barua za watu wengi sana katika dawati la ajira KAMPUNI hiyo..
Lakini Ma HR walipendezwa na CV na cover letter moja wapo kwakuwa iliandikwa kwa ustadi mzuri sana.
Wakaagiza aitwe kwenye usaili, maana hata nafasi yenyew ni ya mtu mmoja kwahio nafikiri waliona Waite mtu huyo tu. Kutokana na uandish wake mzuri
Sasa wakati amefika, ile kuingia kwenye chumba Cha interview, ghafla kukawa kimyaa.. hii yote ni kwamba walipigwa na butwaa baada ya kuona mtu Yuko chini anatambaa.
Anasema kijana yule kwamba, kati ya wote ni mmoja tu angalau alijitahid kuongea pale!! Na kauli aliyoambiwa ni kwamba "Okay tumepokea barua yako tutakupigia simu, tunaomba uende"
Kwakuwa hakuulizwa swali lolote alirudi analalamika na kilio.
Kwa bahati mbaya hivi sasa kijana alishafariki, wengi waliomwona walisema kuwa alikuwa na mawazo mengi sana, alikonda! Mwisho akawa amefariki😢
All in all, (RIp comrade) tutapambana mpka tueleweke kweny jamii.
Tuna uwezo mkubwa sana, mtu ajiri jamii yetu tunawaomba.. lakin pia tengenezeni system nzuri ieleweke ya mtu mwenye ulemavu kuajiriwa