Ongeza nyama mkuu.Chanzo cha kulala ni nini?Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo".
Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala kwenye chumba cha usaili kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini;
View attachment 3203720
View attachment 3203721
View attachment 3203722
View attachment 3203723
Safi sana. Kpindi cha kuonea watanzania huruma kimekwisha. Wacha wakaangwe mafuta yao. CCM wana mkutano, wanatumia fedha nyingi kufanya ufahari na wananchi wamelala fofofo.Inachekesha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja
Ni kama utani kumbe ni serious.Maisha ya Tz ni shida umesoma kwa shida kazi pepa.Inachekesha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja
Ndo jibu ilo kichwa kimeflash material.Sababu za kulala ni nini? kwamba pepa ilikuwa ngumu?
Inasikitisha sanaNi kama utani kumbe ni serious.Maisha ya Tz ni shida umesoma kwa shida kazi pepa.
poleni sanaMtihani haukuwa friendly hasa Kwa wahitimu wa miaka ya nyuma kutokana na kusahau baadhi ya mambo...
Kaombwa na nani? Utumishi?Sasa kama ni wengi na chumba cha usaili ni kimoja watarajia nini?Kuna bwana mdogo mmoja aliwahipita mikono yangu ningali bado mwalimu darasani na nilipokutana naye mwaka jana alisema adaui yake ni interview kwani alishahudhuria kama sita na nyingi alishinda ila aliombwa milioni 2 kakosa.Kwa wajasiriamali kiasi hicho siyo mtaji mzuri katika mapambano?Imagine wewe umesha'cope' na maisha ya kupata riziki kitaa ukitupwa kijijini itakuchukua muda gani kucope na fursa za huko?