Hali ni mbaya usaili wa Kada ya ualimu, wasailiwa walala kwenye chumba cha usaili

Hali ni mbaya usaili wa Kada ya ualimu, wasailiwa walala kwenye chumba cha usaili

Sasa kama ni wengi na chumba cha usaili ni kimoja watarajia nini?Kuna bwana mdogo mmoja aliwahipita mikono yangu ningali bado mwalimu darasani na nilipokutana naye mwaka jana alisema adaui yake ni interview kwani alishahudhuria kama sita na nyingi alishinda ila aliombwa milioni 2 kakosa.Kwa wajasiriamali kiasi hicho siyo mtaji mzuri katika mapambano?Imagine wewe umesha'cope' na maisha ya kupata riziki kitaa ukitupwa kijijini itakuchukua muda gani kucope na fursa za huko?
Haya mambo wanafanyiwa sana watanzania
 
Hii ni dalili mbaya ya uwepo wa umasikini na ufukara katika jamii. Ni ukosefu wa akili na maarifa katika kutengeneza fursa za kujiajiri miongoni mwa wahitimu wengi. Hamuwezi kutemea kuajiriwa tu ndio maisha yaende kwa kuwa mmesomea fani/taaluma fulani halafu mnajitokeza kwa wingi namna hii huku nafasi ni chache. Inatakiwa muajiri akose wa kumuajiri mpaka aweke vivutio kupata waajiriwa, yaani wahitimu wawe na shughuli zao kiasi kwamba wasiweze kukimbilia kuajiriwa mauajiri alazimike kuweka salary scale ndefu kuvutia waajiriwa walau apate wachache wasio na kazi kwenda kuajiriwa
 

Attachments

  • Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    202.2 KB · Views: 5
Namba inasomeka vilivyo
Mwezi wa 11 tutakuja na nyimbo zetu iyena iyena, sisiemu mbelekwambele!!
 
Ulichokiandika kinathibitisha ule usemi usemao kuwa mchawi sio lazima ushike matunguli
Weee watu wamekandwa sana tuu nyie mlikuwa mnaona wenzenu hawana akili kalieni moto muonje raha zake bwana.
 
Inawezekana waliolala wamewahi kumaliza. Ila wanaoendelea kuandika hawakijui wanachokiandika.
 
Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo".

Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala kwenye chumba cha usaili kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini;
View attachment 3203720
View attachment 3203721
View attachment 3203722
View attachment 3203723
Hiyo picha bado haiwezi kuthibitisha kuwa kweli hali ni mbaya. Vipi kama picha ilipigwa wakati hao wanaonekana kulala au kuinama walikuwa tayari wamemaliza kufanya huo mtihani wa usaili?
 
Back
Top Bottom