Mjukuu wa Magika
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 550
- 1,071
Haya mambo wanafanyiwa sana watanzaniaSasa kama ni wengi na chumba cha usaili ni kimoja watarajia nini?Kuna bwana mdogo mmoja aliwahipita mikono yangu ningali bado mwalimu darasani na nilipokutana naye mwaka jana alisema adaui yake ni interview kwani alishahudhuria kama sita na nyingi alishinda ila aliombwa milioni 2 kakosa.Kwa wajasiriamali kiasi hicho siyo mtaji mzuri katika mapambano?Imagine wewe umesha'cope' na maisha ya kupata riziki kitaa ukitupwa kijijini itakuchukua muda gani kucope na fursa za huko?
Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo".
Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala kwenye chumba cha usaili kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini;
View attachment 3203720
View attachment 3203721
View attachment 3203722
View attachment 3203723
Maswali ni kama necta au?Mtihani haukuwa friendly hasa Kwa wahitimu wa miaka ya nyuma kutokana na kusahau baadhi ya mambo...
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo".
Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala kwenye chumba cha usaili kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini;
View attachment 3203720
View attachment 3203721
View attachment 3203722
View attachment 3203723
Weee watu wamekandwa sana tuu nyie mlikuwa mnaona wenzenu hawana akili kalieni moto muonje raha zake bwana.Ulichokiandika kinathibitisha ule usemi usemao kuwa mchawi sio lazima ushike matunguli
Hiyo picha bado haiwezi kuthibitisha kuwa kweli hali ni mbaya. Vipi kama picha ilipigwa wakati hao wanaonekana kulala au kuinama walikuwa tayari wamemaliza kufanya huo mtihani wa usaili?Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo".
Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala kwenye chumba cha usaili kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini;
View attachment 3203720
View attachment 3203721
View attachment 3203722
View attachment 3203723