Hali ni tete kipindi cha EFM michezo

Hali ni tete kipindi cha EFM michezo

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Baada ya jana Yanga kushinda south Afrika imezua taharuki kwenye kipindi cha EFM ambacho pundit wote waliitabiria Yanga kupigwa kipigo cha mbwa mwizi south afrika

Swali ni kwamba wataongea nin????
Kwenye maisha tukubali kuwa na akiba ya maneno bin kazumari, geof leah hakuna aliyetweet chochote baada ya Yanga kushinda na kuingia fainal ya kihistoria
Swali kama Yanga angefungwa wangekaa kimya kama walivyofanya

Tanzania hakuna profesionalism
Kwenye maisha tujifunze utofauti wa stori za vijiweni na ukiwa kazin, lakin Tanzania story za vijiweni tunazipeleka mpaka kazin sehemu ambayo professionalism inatakiwa
 
Hao jamaa wote wanatafuta attention kupitia mashabiki wa Yanga. Watapata followers wengi hasa wa makolo lakini pia post zao zitakua na comments nyingi hiyo itasaidia kupata vi endorsements vidogo vidogo vya kuinua wallet zao. Kwa ambao tunaelewa hili wala hatuhangaiki nao.

Wao wenyewe wanajua Yanga ni baab kubwa ila wanaamua kujitoa ufahamu kwa sababu ya kutaka jambo fulani. Hapo tayari hiko kipindi kitapata airtime ya watu wengi kwa sababu hiyohiyo.
 
MAJANGA KATIKA MEDIA ZA MICHEo.

Wachambuzi na wanahabari wa MICHEZO Tanzania, Wengi wao hawana Akili.

1. Wao WAMEACHA UCHAMBUZI wamekimbilia kwenye UBASHIRI.
WAMEJIPA KAZI YA SHEICK YAHAYA.
WANAAIBIKA MNO.

2. Wameendekeza Mapenzi ya VILABU vya karikoo.
Wamejigawa Katika SIMBA na YANGA.

3.WENGI WAO HAWAJUI LUGHA.
kiswahili kinawashinda, kiingereza ndio USISEME.

4. Asilimia 99 ya wachambuzi hawajacheza mpira Wala hawana Elimu ya UKOCHA.

Vipindi vya MICHEZO E fm vipo viwili.
E sport
Sport HQ

WACHAMBUZI WOTE INABIDI WAWE NA ELIMU YA UKOCHA ANGALAU DIPLOMA .
HAWA WATU INABIDI WARUDI SHULE AISEE.
HILI NI JANGA LA KITAIFA.
 
Japo wabongo wamezid lkn watz huwa tunalifanya kuwa big deal kwa wachambuzi wetu wakikosea,mana kwa ulaya hasa pundits wa EPL wanaznguaga knoma lkn huwa inakua funny na maisha yanaendelea sio km huku mashabik mpk wanatamani wachambuz watolewe nyongk
 
MAJANGA KATIKA MEDIA ZA MICHEo.

Wachambuzi na wanahabari wa MICHEZO Tanzania, Wengi wao hawana Akili.

1. Wao WAMEACHA UCHAMBUZI wamekimbilia kwenye UBASHIRI.
WAMEJIPA KAZI YA SHEICK YAHAYA.
WANAAIBIKA MNO.

2. Wameendekeza Mapenzi ya VILABU vya karikoo.
Wamejigawa Katika SIMBA na YANGA.

3.WENGI WAO HAWAJUI LUGHA.
kiswahili kinawashinda, kiingereza ndio USISEME.

4. Asilimia 99 ya wachambuzi hawajacheza mpira Wala hawana Elimu ya UKOCHA.

Vipindi vya MICHEZO E fm vipo viwili.
E sport
Sport HQ

WACHAMBUZI WOTE INABIDI WAWE NA ELIMU YA UKOCHA ANGALAU DIPLOMA .
HAWA WATU INABIDI WARUDI SHULE AISEE.
HILI NI JANGA LA KITAIFA.
Huwa nasema hapa kila siku mchambuzi wa mpira Tanzania ni Dr Rick tu na si vinginevyo.
 
Inashangaza sana mwana habari za michezo kuchagua timu ya kuitolea/kuacha kuitolea habari.

Mchambuzi unakuwaje na mahaba na timu fulan mpaka inafahamika sana
Wabongo tuna safari ndefu katika swala zima la watu wa kada tofauti kujua wajibu wao wakiwa wanazungumza.

Ni TZ pekee askofu/sheikh ana endorse chama cha siasa publicly.

Polisi/mwanajeshi anadhihirisha mrengo wake wa siasa hadharani.

Mchambuzi/mtangazaji wa michezo anachambua timu 2 kama vile ni msemaji wa moja wapo wa hizo timu. Inafikia wakati mtu unajua kabisa kipindi cha Efm michezo ni mashabiki wa simba.
 
MAJANGA KATIKA MEDIA ZA MICHEo.

Wachambuzi na wanahabari wa MICHEZO Tanzania, Wengi wao hawana Akili.

1. Wao WAMEACHA UCHAMBUZI wamekimbilia kwenye UBASHIRI.
WAMEJIPA KAZI YA SHEICK YAHAYA.
WANAAIBIKA MNO.

2. Wameendekeza Mapenzi ya VILABU vya karikoo.
Wamejigawa Katika SIMBA na YANGA.

3.WENGI WAO HAWAJUI LUGHA.
kiswahili kinawashinda, kiingereza ndio USISEME.

4. Asilimia 99 ya wachambuzi hawajacheza mpira Wala hawana Elimu ya UKOCHA.

Vipindi vya MICHEZO E fm vipo viwili.
E sport
Sport HQ

WACHAMBUZI WOTE INABIDI WAWE NA ELIMU YA UKOCHA ANGALAU DIPLOMA .
HAWA WATU INABIDI WARUDI SHULE AISEE.
HILI NI JANGA LA KITAIFA.
Umemaliza Kila kitu Mkuu. Kuna siku ukiongelea ukanjanja wa Jemadari Said watu wanakushambulia, lakini afadhali wewe umesema kinachoonekana.
 
1684386105887.png
 
Baada ya jana Yanga kushinda south Afrika imezua taharuki kwenye kipindi cha EFM ambacho pundit wote waliitabiria Yanga kupigwa kipigo cha mbwa mwizi south afrika

Swali ni kwamba wataongea nin????
Kwenye maisha tukubali kuwa na akiba ya maneno bin kazumari, geof leah hakuna aliyetweet chochote baada ya Yanga kushinda na kuingia fainal ya kihistoria
Swali kama Yanga angefungwa wangekaa kimya kama walivyofanya

Tanzania hakuna profesionalism
Kwenye maisha tujifunze utofauti wa stori za vijiweni na ukiwa kazin, lakin Tanzania story za vijiweni tunazipeleka mpaka kazin sehemu ambayo professionalism inatakiwa
Jamaa wajinga sana aisee
 
Baada ya jana Yanga kushinda south Afrika imezua taharuki kwenye kipindi cha EFM ambacho pundit wote waliitabiria Yanga kupigwa kipigo cha mbwa mwizi south afrika

Swali ni kwamba wataongea nin????
Kwenye maisha tukubali kuwa na akiba ya maneno bin kazumari, geof leah hakuna aliyetweet chochote baada ya Yanga kushinda na kuingia fainal ya kihistoria
Swali kama Yanga angefungwa wangekaa kimya kama walivyofanya

Tanzania hakuna profesionalism
Kwenye maisha tujifunze utofauti wa stori za vijiweni na ukiwa kazin, lakin Tanzania story za vijiweni tunazipeleka mpaka kazin sehemu ambayo professionalism inatakiwa
Jemedari said ana pretend kujua wakati ni mtupu tu. Nakumbuka alivyoshadadia ile issue ya RIVERS dah
 
Jemedari said ana pretend kujua wakati ni mtupu tu. Nakumbuka alivyoshadadia ile issue ya RIVERS dah
Ni mchambuzi anayetumia hisia jamaa ni wakawaida sana kuna mda unajiuliza alipataje kazi au kulikua hamna interview alipata kwa mchongo
 
Baada ya jana Yanga kushinda south Afrika imezua taharuki kwenye kipindi cha EFM ambacho pundit wote waliitabiria Yanga kupigwa kipigo cha mbwa mwizi south afrika

Swali ni kwamba wataongea nin????
Kwenye maisha tukubali kuwa na akiba ya maneno bin kazumari, geof leah hakuna aliyetweet chochote baada ya Yanga kushinda na kuingia fainal ya kihistoria
Swali kama Yanga angefungwa wangekaa kimya kama walivyofanya

Tanzania hakuna profesionalism
Kwenye maisha tujifunze utofauti wa stori za vijiweni na ukiwa kazin, lakin Tanzania story za vijiweni tunazipeleka mpaka kazin sehemu ambayo professionalism inatakiwa
Ukanjanja mwingi sana.
 
Back
Top Bottom