Hali ni tete

Hali ni tete

Mambo ni ngum huku mtaani..hali imekua shida kila uchao,sio kwa wafnya biashara na hata kwa watumishi.ila ndio funzo kwa wale wasio faham wakat uliopo na kujua chanzo ni nini.
 
Acha tu mkuu mimi nina siku kadhaa natakiwa nilipe kodi na mdogo wangu anatakiwa kwenda chuo.
 
Sema uzuri Wa hizi namba tunasoma wote hata wale waliokuwa wanawaimbia wenzao kwa kejeli 2015. Ahsante mh Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajidanganya kama unadhani namba zinasomwa na wote... Ukiwa mpendwa wa mkuu unapeta tu, naskia kuna watu wanalipana posho za kufuru
 
Back
Top Bottom