Hali ninayokutana nayo katika Biashara inatisha nimefunga biashara 3 nimebakiza moja inayopumulia mipira, Msaada wa kiroho unahitajika

Exactly mkuu
Ni Uzi mzuri mnoo
 
Mkuu kwanza Pole sana
Pili; Jambo lako linatibika, ila kwasababu umeamua kutumia solution ya waganga, mimi sijui chochote kuhusu upande wa giza, ukitaka upande wa nuru niambie nikusaidie hapahapa
Mkuu hii changamoto wanaipitia wengi ila hawajapata nafasi ya kuleta vilio vyao hapa jf, hivyo basi, kwa heshima na taadhima, nikuombe ushushe nondo kupitia uzi wa huyu member na utaponya walio wengi. Karibu
 
Kuna uzi humu unazungumzia waliowahi kupata pesa kisha wakafirisika, uko hapa jukwaani! hakika maumivu ya kufirisika anayajua mhusika na mungu wake..ni mapito magumu na ya kuogofya sana!
 
Cha ajabu hata usiku nikilala naota ndoto za kutisha kama nipo
kwetu kijijini, tena saa zingine naota nipo shule ya msingi
nasoma...

Kwenye kuota upo class unapiga kitabu hii ni ndoto mbaya sana umesha kanyagishwa kitu tena utakuta ni ndugu yako

Pole sana mwisho wa picha utapata ajali na mwisho wako utakuwa hapo.. Wakati unapambana ujinasue na yeye anapambana na wewe
 
Kuna hali mbaya ya kibiashara mtaani. Unakuta fremu kila baada ya kodi ya kwanza kuisha mtu anaachia haemdelei. Kama hujui unaweza fikiri kuna biashara kwasababu fremu zinapata watu kumbe kila mkataba ukiisha anakuja mpangaji mpya.
 
Rudi nyumbn kaongee na wazee vizuri...anzia hapo hayo mengne watakuambia wao
 
Upo mkoa gani?
 
Mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema Mola wangu Mlezi amenikirimu!

Na anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema Mola wangu Mlezi ameniacha.

Ni changamoto tu hiyo jipange upya chuma ilikua gear no 5 sahivi imekutana na mlima rudi 3, 2 kama kilima ni kikali anza 1.



 
Kwanza jikague kama ulimdhulumu mtu, jitahidi mpe haki yake.

Kama kuna mke wa mtu unatembea nae,tafuta namna ya kujiepusha nae.

Tenga muda wa falagha wa kuongea na Mungu wako hasa iwe usiku tulivu.

Tumia chumvi ya mawe kuogea husaidia kuondoa hizo balaa.
 
Fata huu ushauri uliopewa nenda kwenye maombi kama upo dar nenda kkkt kimara korogwe au kkkt Kariakoo uponyaji bure dakika mbili tu umeoshwa kwa damu y’a Mwanakondo ( Yesu) stori kwisha nyota hiyo inarudi hayo mavi umechafuliwa ulimwengu wa roho wateja wanakuona unanuka hakuna atakaye sogea ndoto shule maana umerudishwa nyuma kijiji huo uchawi unatoka uko kwenu usipo angalia utarudi kijijini upo mjini kopo tu vitu vinaaanza roho then mwilini kwa waganga utapoteza ufalme kwa ufalme haufitiniki cha msingi atakuwekea jini lakutuliza kingine kuwa msiri asa kwenye maendeleo Bila nguvu y’a Mungu utoboi tumepita uko kwenye hizo ndoto za shule kuona unajisaidia choo kichafu ila niliposurrender mikono juu kwa Yesu kristo damu yake iliniosha nikawa mpya natembea kifua mbele atakayeroga kwa vida mu vya kuku sijui ng’Ombe anakutana na nguvu y’a damu
 
Tatzo hawa wanaozungumzia haya mambo hawa reflect wanachozungumzia ndio maana hatuwaamini, unakuta mtu anakupa siraha tano za kiroho ila yeye bianfsi na wafuasi wake wanasaga baiskeli, tunapoteza uaminifu kwao.. ndio maana tunaona Waganga wa kienyeji baadhi ni wa kwel hapo sio wote
 
Kuhusu kudhurumu sijawahi... kuhusu kula mke wa mtu labda kama nilikuwa sijui
 
mara ya mwisho kutoa sadaka lini???
mara ya mwisho kusaidia wenye uhitaji lini ???

watu wengi tunamtanguliza Mungu kwenye mambo yetu mwanzoni lakini pindi tu mambo yakianza kutiki automatically tunajisahau ukiweza kulishinda hili jambo lazima mafanikio yako yalindwe

my take.:: mimi sina dini yoyote lakini huwa naomba MUNGU maana naimani yupo na anasikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…