Hali ninayokutana nayo katika Biashara inatisha nimefunga biashara 3 nimebakiza moja inayopumulia mipira, Msaada wa kiroho unahitajika

Biashara inayokuingizia faida ya laki 2 sijui 3 kwa siku mbona hela ndefu sana? Au ulikosea masharti
Hivi hamuwezi kufanya biashara bila ndumba?
Ina maana unafuata masharti bila akili yako
Yaani unamsikiliza mganga tu wa kuomba kuku eti
Sasa anza ya bila kumshirikisha mganga bali akili yako tu
 
Wapi niliandika hapo kuwa nilienda kwa mganga??

Mbona pesa ya kawaida sana ukipata sehem na kuna watu wanaingiza hizo pesa kawaida tu!
 
Rudi kwenye asili takatifu uchawi una nafasi ndogo sana ningekushauli sana ufanye meditation lakini kwa situation ulionayo sasa huwezi kufaulu hili kwa akili yako kutawaliwa na mapito unayo pitia.
Sasa fanya maombi yalio onganishwa na kufunga siku11 chakula chako iwe matunda katika hayo
tende👈 usikose.
HAKIKA UTAONA MIUJIZA MIKUBWA.
 
Mkuu ngoja tumuite Mshana Jr atuelekezee hii
 
Usijichanganye kwenda kwa wanaojiita manabii, au makanisa sijui ya kiroho
 
Hakuna cha maombi wala nini,makanisa na wachungaji wote matapeli tu, type ya kina kiboko ya wachawi
 
Kuna hali mbaya ya kibiashara mtaani. Unakuta fremu kila baada ya kodi ya kwanza kuisha mtu anaachia haemdelei. Kama hujui unaweza fikiri kuna biashara kwasababu fremu zinapata watu kumbe kila mkataba ukiisha anakuja mpangaji mpya.
Kama unataka uzoefu wa hali mbaya angalia watu walivyochoka,angalia bia hazitembei,wakora wameongezeka,bei hazina shida lakini Kuna kitu hakiko sawa kwa mtawala mkuu huenda alipora maisha ya mwenda zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…