Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Imani ndio huponya mkuu.Ha ha ha dawa za kulimia kupata mazao mengi? Huyo ni bwana shamba au mganga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani ndio huponya mkuu.Ha ha ha dawa za kulimia kupata mazao mengi? Huyo ni bwana shamba au mganga?
Nini unachoshauri wewe sasaKama walivyo matajiri wengi wakipata hela wananza dharau...umachinga ulikupa pesa lakini ukaona hauna maana. Si ajabu ulianza kuwadharau hata wamachinga.
Kuna ile unasema hivi nyie machinga mtafanya umachinga mpaka lini mbona mimi nimeanza mwaka jana na leo nimeshafungua maduka matatu nyie mna miaka zaidi ya kumi mko pale pale?[emoji1][emoji1]
Kuchafuliwa ulimwengu wako wa roho kwanza kujisaidia tu ni Ishara ndani y’a mwili wako unau chafu na kujisaidia mazingira y’a Choo kichafu maana umezungukwa na ma roho machafu umenajisika connection na Mungu haipo hutamsikia utaona vitu vya gizani tu baraka zako zinaibiwa nyota unakuta cha muhimu kuacha dhambi ndo mlango wa mateso yote asa zinaa ni mbaya sana kuishi kwenye usafi na utakatifuHi ndoto YA kujisaidia Choo kichafu Hua inamaanisha nn
Kwahiyo mkali wa hizi kazi nani kati ya huyu na yule wa mwanzo 😊Nakupa Connection ya pili.
Save hii namba: 0759953006
huyu anaitwa Mzee Bahati.
ni mzee wa makamo tu under 60
Location: Katoro
Gharama yake: 100,000/= minimum
anapiga ramli kwa kuchinja kuku
(hapa unaweza nunua kuku hadi wanne, maana akishatibu lazima achinje tena kuangalia kama mambo yamekaa sawa)
Connection nilipewa na ndugu yangu ambaye ni mfanyabiashara wa mazao, pia huenda kuchukua dawa za Kulimia/kupata mazao mengi/kulinda shamba.
wataalam wanapiga kazi kulingana na shida uliyonayo.Kwahiyo mkali wa hizi kazi nani kati ya huyu na yule wa mwanzo 😊
Yule wa nyungu ni mtaalamu wa nn sasa 😊wataalam wanapiga kazi kulingana na shida uliyonayo.
mfano unaweza kuta shida yako ni kuondoa majini mahaba, ama umerushiwa majini... ukaenda sehem ukaaminishwa mtlm ni mkali sana ila hajabobea kwenye kuondoa majini
so unapewa Plan B
Nakupa Connection ya pili.
Save hii namba: 0759953006
huyu anaitwa Mzee Bahati.
ni mzee wa makamo tu under 60
Location: Katoro
Gharama yake: 100,000/= minimum
anapiga ramli kwa kuchinja kuku
(hapa unaweza nunua kuku hadi wanne, maana akishatibu lazima achinje tena kuangalia kama mambo yamekaa sawa)
Connection nilipewa na ndugu yangu ambaye ni mfanyabiashara wa mazao, pia huenda kuchukua dawa za Kulimia/kupata mazao mengi/kulinda shamba.
Wanaua wateja tena😁😁 sasa atamuuzia nani?Njoo Singida kuna waganga wanaoua wateja na kuwafukia. Watakusaidia kuondokana na fedheha hio .
AMINI MUNGU
Hapana.Huyo mzee bahati ndo wewe
Katika yoooooote umeona uulizie kuhusu mjegeje tu 🤣🤣🤣Mnachekesha jamani, mwisho nitaonekana nafurahia matatizo yako....😂😂😂
Ilipona??
Pole sana kwa changamoto ya biashara Mkuu.
Na biashara nimempa poleKatika yoooooote umeona uulizie kuhusu mjegeje tu 🤣🤣🤣
Ngoja tuendelee kusoma comment hapa kila mmoja akimnadi mtaalamu wakeNa biashara nimempa pole
Una matatizo alafu mbishiii ,ka Muha, ushauri wangu jitathimini kuanzia tabia Yako baada ya kupata pesa ,hasa kwa wateja, tabia ya mkeo baada ya kupata pesa ,hasa kwa wateja, na Kisha kama wewe ni mwafrika halisi ,maagano uliyoweka tokea mwanzo, umechinja kuku wangapi ,kwa ufupi kafara, na matokeo yake yalikuwaje , nguvu yake ni ya muda Gani,!? Upinzani wake ni Nini!? Ie tabia zako halisi dhidi ya hizo kafara vinamatch!?Ukisoma haimaanishi unaacha asili mimi ni mwafrica ambae najua asili yangu kusoma haimaanishi kunafanya nisijue asili yangu na mababu zangu, hata hao wasomi unaowajua ww wanashiriki ibada ya kiganga maana ni jadi yetu waafrika
Akili yako direct imekutuma huko ila hapo juu hakuna sehem nimeandika kuwa nilishawahi kufanya hizo vitu kwa hiyo kabla hujadandia mada za watu tafakariUna matatizo alafu mbishiii ,ka Muha, ushauri wangu jitathimini kuanzia tabia Yako baada ya kupata pesa ,hasa kwa wateja, tabia ya mkeo baada ya kupata pesa ,hasa kwa wateja, na Kisha kama wewe ni mwafrika halisi ,maagano uliyoweka tokea mwanzo, umechinja kuku wangapi ,kwa ufupi kafara, na matokeo yake yalikuwaje , nguvu yake ni ya muda Gani,!? Upinzani wake ni Nini!? Ie tabia zako halisi dhidi ya hizo kafara vinamatch!?
Zaidi uafrika wetu ni mzuri,lakini mgawanyo wake waga ni WA maumivu,utaambiwa inabidi utoe sadaka, sadaka yenyewe Sasa ,ikiwa ndogo ni wewe kujitia ulemavu, utasikia kata kidole, ,,, kama ulianza kwa imani zetu za kiafrika ,kubali kuwa masikini alafu ujianze na upya, Mali za imani za kiafrika waga ni kama za kuazimwa, majini yakiumwa njaa yanakutikisa ,
Bora usiamini hata hizo za wazungu ila uwe wewe! Bila ya kafara Wala damu,Wala sadaka za huko kwa mababu
Hii siyo mada ni matatizo Yako,tulia usaidiweAkili yako direct imekutuma huko ila hapo juu hakuna sehem nimeandika kuwa nilishawahi kufanya hizo vitu kwa hiyo kabla hujadandia mada za watu tafakari