Hali ninayokutana nayo katika Biashara inatisha nimefunga biashara 3 nimebakiza moja inayopumulia mipira, Msaada wa kiroho unahitajika

Hali ninayokutana nayo katika Biashara inatisha nimefunga biashara 3 nimebakiza moja inayopumulia mipira, Msaada wa kiroho unahitajika

Hiyo ndoto ya kuota upo shule unafanya mtihani mbaya sana ,ikikutokea ujue kama umepigwa handbrake kila kitu ukifanya kinateleza ilishanitokeaga hiyo, tena inajirudia rudia
Mimi siku nimepata ajar niliota nafanya mtiani nipo chumba kimoja na mdogo angu mtiani wa chemistry Ila maswali yalinishinda nikawa nimemwomba mdogo wangu wa kiume toka ni toke ni mtabe wa chemistry na physics akawa kanipa majibu muda ukawa mchache wa kukopi MAJIBU baadae nikashitula usingizini..

Ilinifikilisha sana wife alikua kaenda kazini Mimi nikaamka kujiandaa na sikufanikiwa kumwambia mtu jioni narud mishemishe nafika hapo BANDARINI nagongwa na gari na kuvunjika mguu for more details Kuna Uzi wangu humu.

Baadae nikasimulia Ile ndoto after three weeks mdogo angu na yeye akapata ajari akavunjika BEGA mpaka Sasa ana plates

Hizi ndoto huwaga ni mbaya Sanaa Tena sanaa
 
Habari Wakuu, Maelezo mengi yatawachosha.

Nilianza Biashara 2019, ya umachinga nikawa nachukua bidhaa mjini napeleka vijijini, Biashara ilikubali nilikuwa napiga profit nzuri sana kwa siku, Biashara yangu haikuwa na ushindani wala haikuwa ya kufikirisha kama kuna faida napata, Ila nilikuwa na uwezo wa kutengeneza faida ya Laki moja hadi 3 kwa siku,

Nikaendelea na Biashara hii kwa muda wa mwaka mmoja nikaamua kununua kiwanja na kujenga nyumba yangu wa kwanza ya kuanzia maisha, nikahamia, nikaendelea kukomaa nikajenga nyumba ya pili ya ndoto zangu...

Kwa bahati nzuri location niliyojenga kwa mbele kuna barabara nikaona sio mbaya nikajiongeze nikajenga Viflemu vya biashara nikapata na wapangaji nikaanza kupokea vikodi. Kiukweli nilianza kuona natimiza ndoto kimasihara sana.

Mwaka juzi nikapambana nikapata kigari nikanunua na baadae nikawaza biashara ya Umachinga sio Biashara ya kudumu, Hivyo nikaona nijiwekeze nikaona ni bora nifungue vitega uchumi vingine ili nitanue biashara..

Nikaamua kufungua Duka la kwanza katika moja ya flem zangu, Mwanzoni biashara ilienda vzuri hadi nikawa najiuliza nilikuwa nachelewa nini.

Baadae nikaona shemeji yenu nae anafaa apate biashara yake ili asinitegemee na yeye nikatafuta location nikamfungulia Cafe ya kuuza misosi napo biashara ikatiki nikaongeza kipato zaidi nikazidi kuinjoy..

Nikaona niongeze ofisi ya tatu, Nikafungua Duka la spea za pikipiki eneo baada ya kuona location inafaa, Biashara zikazidi kupamba moto.

Cha ajabu na cha kushangaza ni ndani ya muda mfupi biashara zote zimesimama hakuna mteja anakuja dukani kwangu, watu wanapita tu na kwenda kununua bidhaa kwingine, cha kusikitisha ni kwamba upepo umenata ofisi zote, Pale kwa wife vyakula vinapikwa vinatupwa, Dukani panya wanashambulia vitu bila huruma, na hakuna mteja, Duka la spea hakuna wateja na mafundi wamehama sina fundi wala bidhaa haziuziki.

Nimeamua kufunga biashara zote maana naona ni hasara tupu, Kwanza nilianza na Mgahawa wa wife, likafuata Duka na hivi juzi nimemalizia kufunga Duka la spea.

Nimeamua kurudia biashara yangu ya awali ya Umachinga ambayo ndio ilinipa msingi.. cha ajabu nayo saizi wateja wangu wanataka kunikopa tu hamna la maana. Natoka nazunguka narudi nyumbani na pesa ya kula tu hamna cha maana.

Cha ajabu hata usiku nikilala naota ndoto za kutisha kama nipo kwetu kijijini, tena saa zingine naota nipo shule ya msingi nasoma na mara zingine naota nimepakazwa kinyesi mwili mzima. Jamani wakuu tusaidiane hapa najinasua vipi.

Kwa upande wangu napendelea kujinasua katika hiki kifungo kupitia wataalam wa jadi ndipo imani yangu inanituma japo sijui ni wapi nitaanzia wala ni wapi nitaishia.

Siwiwi na walokole kuponya tatzo langu, kama yupo ambae alishawahi kukutwa na janga kama hili na akachomoka na kurudi katika hali yake ya kawaida anisaidie Pm Iko wazi jamani. Ndugu tusaidianane, Napitia fedheha kubwa sana, Nimejaribu kushirikisha akili yangu ila imefika ukomo.

Napewa namba za wataalamu wengi ila ukimpigia katika maongezi pyschologically nawastukia ni wapigaji wengi wao wanajisifia ila ukipima maongezi yake unaona kama hayana uhalisia.. Na mwisho wanataka kutumiwa pesa ili wanisaidie.
Sioni cha kunilipa mimi kama mtaalamu maana ushafilisika, kwa tathmini ya haraka huna pesa ya kupata mtaalam kama mimi labda upate waongo tu nakuashauri nenda kwa walokole tu.
 
Ukiona UNAOTA Mambo ya shule ya msingi mara kurudishwa kijijini jua haupo SALAMA.

NENDA KWA MWAMPOSA PALE KAWE OMBA KILA NJIA UONANE NAE AKUWEKEE MKONO KICHWANI THEN RUDI HAPA KUTUPA MWONGOZO.

NINA SHUHUDA NYINGI SANA ZA WATU KUINUKA NA KUFANIKIWA SABABU YA MAOMBI YA APOSTLE MWAMPOSA

Uzuri wa pale KAWE hakuna MASHARTI magumu Kama ya huko kwa waganga unako taka kwenda wewe jifanye Kama unaenda kujaribu zingatia haya nayo kwambia utakuja kunishukuru..
Mashart sio tatzo, tatzo no je unapotoka huko unakuwa unajua umejiunganisha na madhabahu zipi katika kupona?

Shetani hashindwi kukupa 1 kisha akachukua 2, wapo wanaotumikia madhabahu ya kichawi na ushirikina pasipo wao kujijua sasa kuna haja gani kutumikia ushirikina paspo kujijua? Si bora nifanye nikiwa na utimamu wangu kipi ntumikia pengine nitakuwa salama na huru zaidi
 
Dah....!

Umelogwa....! Tatizo la Mchawi, anafurahi kweli ukienda Kwa Mganga wa Kienyeji, kuliko ukienda Kanisani.

Kwa sababu Vita na Mganga anaweza kupigana, coz nguvu za Giza zinazidiana...!

Inapokuja Kwa Nguvu ya Mungu, hakuna Nguvu ya Giza inayozidi Nguvu ya Mungu.

Uchaguzi ni wako.
 
Mashart sio tatzo, tatzo no je unapotoka huko unakuwa unajua umejiunganisha na madhabahu zipi katika kupona?

Shetani hashindwi kukupa 1 kisha akachukua 2, wapo wanaotumikia madhabahu ya kichawi na ushirikina pasipo wao kujijua sasa kuna haja gani kutumikia ushirikina paspo kujijua? Si bora nifanye nikiwa na utimamu wangu kipi ntumikia pengine nitakuwa salama na huru zaidi
Wewe ni mbishi Endelea na mambo yako usitusumbue Wala kujaza sever za JF😇

Siku zoteee mwomba msaada ni msikivu na atapokea kila ushauri na kuuchuja kupata ushauri mzur sanaa wenye kumsaidia Inashangaza Sana kuona mtu anapewa ushauri then anaanza kaubishani flani
 
Pole
Habari Wakuu, Maelezo mengi yatawachosha.

Nilianza Biashara 2019, ya umachinga nikawa nachukua bidhaa mjini napeleka vijijini, Biashara ilikubali nilikuwa napiga profit nzuri sana kwa siku, Biashara yangu haikuwa na ushindani wala haikuwa ya kufikirisha kama kuna faida napata, Ila nilikuwa na uwezo wa kutengeneza faida ya Laki moja hadi 3 kwa siku,

Nikaendelea na Biashara hii kwa muda wa mwaka mmoja nikaamua kununua kiwanja na kujenga nyumba yangu wa kwanza ya kuanzia maisha, nikahamia, nikaendelea kukomaa nikajenga nyumba ya pili ya ndoto zangu...

Kwa bahati nzuri location niliyojenga kwa mbele kuna barabara nikaona sio mbaya nikajiongeze nikajenga Viflemu vya biashara nikapata na wapangaji nikaanza kupokea vikodi. Kiukweli nilianza kuona natimiza ndoto kimasihara sana.

Mwaka juzi nikapambana nikapata kigari nikanunua na baadae nikawaza biashara ya Umachinga sio Biashara ya kudumu, Hivyo nikaona nijiwekeze nikaona ni bora nifungue vitega uchumi vingine ili nitanue biashara..

Nikaamua kufungua Duka la kwanza katika moja ya flem zangu, Mwanzoni biashara ilienda vzuri hadi nikawa najiuliza nilikuwa nachelewa nini.

Baadae nikaona shemeji yenu nae anafaa apate biashara yake ili asinitegemee na yeye nikatafuta location nikamfungulia Cafe ya kuuza misosi napo biashara ikatiki nikaongeza kipato zaidi nikazidi kuinjoy..

Nikaona niongeze ofisi ya tatu, Nikafungua Duka la spea za pikipiki eneo baada ya kuona location inafaa, Biashara zikazidi kupamba moto.

Cha ajabu na cha kushangaza ni ndani ya muda mfupi biashara zote zimesimama hakuna mteja anakuja dukani kwangu, watu wanapita tu na kwenda kununua bidhaa kwingine, cha kusikitisha ni kwamba upepo umenata ofisi zote, Pale kwa wife vyakula vinapikwa vinatupwa, Dukani panya wanashambulia vitu bila huruma, na hakuna mteja, Duka la spea hakuna wateja na mafundi wamehama sina fundi wala bidhaa haziuziki.

Nimeamua kufunga biashara zote maana naona ni hasara tupu, Kwanza nilianza na Mgahawa wa wife, likafuata Duka na hivi juzi nimemalizia kufunga Duka la spea.

Nimeamua kurudia biashara yangu ya awali ya Umachinga ambayo ndio ilinipa msingi.. cha ajabu nayo saizi wateja wangu wanataka kunikopa tu hamna la maana. Natoka nazunguka narudi nyumbani na pesa ya kula tu hamna cha maana.

Cha ajabu hata usiku nikilala naota ndoto za kutisha kama nipo kwetu kijijini, tena saa zingine naota nipo shule ya msingi nasoma na mara zingine naota nimepakazwa kinyesi mwili mzima. Jamani wakuu tusaidiane hapa najinasua vipi.

Kwa upande wangu napendelea kujinasua katika hiki kifungo kupitia wataalam wa jadi ndipo imani yangu inanituma japo sijui ni wapi nitaanzia wala ni wapi nitaishia.

Siwiwi na walokole kuponya tatzo langu, kama yupo ambae alishawahi kukutwa na janga kama hili na akachomoka na kurudi katika hali yake ya kawaida anisaidie Pm Iko wazi jamani. Ndugu tusaidianane, Napitia fedheha kubwa sana, Nimejaribu kushirikisha akili yangu ila imefika ukomo.

Napewa namba za wataalamu wengi ila ukimpigia katika maongezi pyschologically nawastukia ni wapigaji wengi wao wanajisifia ila ukipima maongezi yake unaona kama hayana uhalisia.. Na mwisho wanataka kutumiwa pesa ili wanisaidie.
Pole sana kwa hayo ,siku zile kwenye uzi wako watu wanakuuliza unafanya biashara gani na inaendaje ukawa unafichaficha Mara njoo PM nako ukawa haujibu ,basi karma imekurudisha kwetu na sisi bila hiyana tunakupa pole na kukupokea kwa mikono miwili kama mfirisika .

Sasa kwakuwa tumekusamehe bure maana haukujua dunia duara ,natumia wasaa huu kukuomba ikiwa unamuamini Mungu basi niko tayari kukuombea na ukawa sawa tena kwa kufanya vipi ,nahitaji niandike maneno ya uponyaji hapa ambavyo utayasoma Mara kumi na hakika hautakuwa mfirisika tena kuanzia pale utakopohitimisha usomaji wa maneno hayo .
Je uko tayari mfirisika ? Ikiwa upo tayari nijibu
 
Mimi siku nimepata ajar niliota nafanya mtiani nipo chumba kimoja na mdogo angu mtiani wa chemistry Ila maswali yalinishinda nikawa nimemwomba mdogo wangu wa kiume toka ni toke ni mtabe wa chemistry na physics akawa kanipa majibu muda ukawa mchache wa kukopi MAJIBU baadae nikashitula usingizini..

Ilinifikilisha sana wife alikua kaenda kazini Mimi nikaamka kujiandaa na sikufanikiwa kumwambia mtu jioni narud mishemishe nafika hapo BANDARINI nagongwa na gari na kuvunjika mguu for more details Kuna Uzi wangu humu.

Baadae nikasimulia Ile ndoto after three weeks mdogo angu na yeye akapata ajari akavunjika BEGA mpaka Sasa ana plates

Hizi ndoto huwaga ni mbaya Sanaa Tena sanaa



Pole Sana mkuu
 
Habari Wakuu, Maelezo mengi yatawachosha.

Nilianza Biashara 2019, ya umachinga nikawa nachukua bidhaa mjini napeleka vijijini, Biashara ilikubali nilikuwa napiga profit nzuri sana kwa siku, Biashara yangu haikuwa na ushindani wala haikuwa ya kufikirisha kama kuna faida napata, Ila nilikuwa na uwezo wa kutengeneza faida ya Laki moja hadi 3 kwa siku,

Nikaendelea na Biashara hii kwa muda wa mwaka mmoja nikaamua kununua kiwanja na kujenga nyumba yangu wa kwanza ya kuanzia maisha, nikahamia, nikaendelea kukomaa nikajenga nyumba ya pili ya ndoto zangu...

Kwa bahati nzuri location niliyojenga kwa mbele kuna barabara nikaona sio mbaya nikajiongeze nikajenga Viflemu vya biashara nikapata na wapangaji nikaanza kupokea vikodi. Kiukweli nilianza kuona natimiza ndoto kimasihara sana.

Mwaka juzi nikapambana nikapata kigari nikanunua na baadae nikawaza biashara ya Umachinga sio Biashara ya kudumu, Hivyo nikaona nijiwekeze nikaona ni bora nifungue vitega uchumi vingine ili nitanue biashara..

Nikaamua kufungua Duka la kwanza katika moja ya flem zangu, Mwanzoni biashara ilienda vzuri hadi nikawa najiuliza nilikuwa nachelewa nini.

Baadae nikaona shemeji yenu nae anafaa apate biashara yake ili asinitegemee na yeye nikatafuta location nikamfungulia Cafe ya kuuza misosi napo biashara ikatiki nikaongeza kipato zaidi nikazidi kuinjoy..

Nikaona niongeze ofisi ya tatu, Nikafungua Duka la spea za pikipiki eneo baada ya kuona location inafaa, Biashara zikazidi kupamba moto.

Cha ajabu na cha kushangaza ni ndani ya muda mfupi biashara zote zimesimama hakuna mteja anakuja dukani kwangu, watu wanapita tu na kwenda kununua bidhaa kwingine, cha kusikitisha ni kwamba upepo umenata ofisi zote, Pale kwa wife vyakula vinapikwa vinatupwa, Dukani panya wanashambulia vitu bila huruma, na hakuna mteja, Duka la spea hakuna wateja na mafundi wamehama sina fundi wala bidhaa haziuziki.

Nimeamua kufunga biashara zote maana naona ni hasara tupu, Kwanza nilianza na Mgahawa wa wife, likafuata Duka na hivi juzi nimemalizia kufunga Duka la spea.

Nimeamua kurudia biashara yangu ya awali ya Umachinga ambayo ndio ilinipa msingi.. cha ajabu nayo saizi wateja wangu wanataka kunikopa tu hamna la maana. Natoka nazunguka narudi nyumbani na pesa ya kula tu hamna cha maana.

Cha ajabu hata usiku nikilala naota ndoto za kutisha kama nipo kwetu kijijini, tena saa zingine naota nipo shule ya msingi nasoma na mara zingine naota nimepakazwa kinyesi mwili mzima. Jamani wakuu tusaidiane hapa najinasua vipi.

Kwa upande wangu napendelea kujinasua katika hiki kifungo kupitia wataalam wa jadi ndipo imani yangu inanituma japo sijui ni wapi nitaanzia wala ni wapi nitaishia.

Siwiwi na walokole kuponya tatzo langu, kama yupo ambae alishawahi kukutwa na janga kama hili na akachomoka na kurudi katika hali yake ya kawaida anisaidie Pm Iko wazi jamani. Ndugu tusaidianane, Napitia fedheha kubwa sana, Nimejaribu kushirikisha akili yangu ila imefika ukomo.

Napewa namba za wataalamu wengi ila ukimpigia katika maongezi pyschologically nawastukia ni wapigaji wengi wao wanajisifia ila ukipima maongezi yake unaona kama hayana uhalisia.. Na mwisho wanataka kutumiwa pesa ili wanisaidie.
Kuota ndoto uko shule ya msingi ni ishara mbaya mno maana ya hii ndoto ni mambo yako hayatosonga mbele na kuwa tegemezi kama mwanafunzi imagine una miaka 30 sasa hv still uwe kama mwanafunz wats next...msioamin uchaw hii comment haiwahusu
 
Yani izo ndoto za kurudi kijijini na mashuleni zote zinaashiria umetupiwa roho ya kurudishwa nyuma ndo mana hamna jambo linaloenda mbele
Na kutoka kwenye Ivo vifungo ni kupitia maombi coz uko kwa waganga unaenda kupotea mazima.
Kuna Uzi umu ndani umezungumzia vizuri maswala ya kiroho ukiufatilia itakusaidia sana.
Uko sahihi ndoto mbaya mno hii wengi wanaota na kuipuuzia hii ndoto..
 
Back
Top Bottom