Uchaguzi 2020 Hali si hali: Katambi 'akataliwa' na 'kugomewa' Shinyanga Mjini, Masele aombwa kumsaidia. Ahaidiwa Ubalozi

Acha stories za Abunuasi,bila Katiba ya Jaji Warioba CCM ni kisiki kwa miaka mingi.Ina maana CCM wataendelea kutawala nchi hii hata wakimuweka kipofu.
Kila msimu wa uchaguzi wapinzani huja na hoja ya tume huru,lakini wakijipeleka mdomoni mwa CCM kama mbwa amuonapo chatu.
2015 Raisi Kikwete alitulambisha katiba mpya,lakini pale alipotugeuka na kufuta matumaini ya kutumia katiba mpya katika uchaguzi mkuu,tungekubali Kikwete aongezewe muda hadi tumalize mchakato mzima wa katiba.
Lakini kwa ulafi wa akina Lowassa,Pinda,Sita Membe,na vyama vya upinzani.waliona wanachelewa kuchukuwa nchi.
Leo si Lowassa au Membe aliyechukuwa uraisi.
 
Mkuu Mkuu hivi baada ya uchaguzi utakuwa na cha kukomenti kweli?
 
Mkuu
Mkuu hivi baada ya uchaguzi utakuwa na cha kukomenti kweli?

CCM ilizaliwa mwaka 1977, kama tulivyo sisi binadamu, na yenyewe itafikia siku itakufa tu! Ni Tanzania pekee ndiyo itakayobakia milele.Dalili zipo wazi.

Hata kama Magufuli ataamua kuvunja katiba mwaka 2025 na kutawala milele, siku atakapo ondoka madarakani aidha kwa kifo au hata kwa kupinduliwa kama rafiki yake Saddam Hussein wa Quwait,
mtifuano kati ya CCM Asili dhidi ya CCM Makinikia, hautakiacha hicho chama salama!

Kitajifia tu! Na siku hiyo ya kifo cha CCM, hakika nitafanya sherehe.
 
Yaani MTU aliyekuwa anashinda kwa kura moja awe kikwazo kwa katambi acha uchuro.
 
 
UMMA WOTE TUNAJUA CHADEMA BADO MNA BIFU KUBWA KWA KATAMBI NA HUU UZI NI MOJA YA MIKAKATI YENU ILI KUMFIGISHA KATAMBI.
LAKINI UKWELI NI KWAMBA SHINYANGA IKO NA KATAMBI.

MLIUHADAA ULIMWENGU KWAMBA MKO NA MEMBE, MBONA HATUWAONI??
WANAFIKI WA TAIFA NYIE!
 
Naamini ni ujinga, kama anateuliwa mtu kwa vile anauwezo wa kuongea mbovu, anakitetea chama bila kujali, tuwaridhishe kundi la wasanii, ni ulofa, kazi ya huko ni zaidi ya mambo hayo, kuna kuchambua mambo na kushauri, sasa hii itapelekea kutungwa kwa sheria mbovu kama zile za takwimu!
 
Badala ya kutangaza sera za chama chake, yeye anaendekeza matusi..........

Na hiyo ndiyo itakayowa-cost vibaya sana, hadi hilo jimbo walipe mkono wa Bye Bye
Huu ushauri ungempa na lissu aachane na magufuli atangaze sera za chama.
 

Sisi ndiyo NATIVES wa Shinyanga....

Wewe sijui uko wapi. Lakini ulichokisema, ndiyo hali halisi hapa. CCM na Patrobas Katambi kushinda jimbo hili itakuwa ni sawa na ng'ombe apenye kwenye tundu la sindano....!

Salome Makamba na CHADEMA washindwe wenyewe kulitwaa jimbo hili...
 
Yaani ccm kweli mmekosa vijana wenye akili na weredi na mvuto kutoka uvccm/vyuoni,serikalini mpaka mkumbatie watu ambao hawaja accomplish chochote ktk maisha yao?mnawabeba wa nini vijana Kama Makonda,Katambi?wanakipi Cha upekee mpaka mnawabeba kiasi hiki?c Bora mngepereka hata kafulila akagombee huko shinyanga.au Hawa vijana wanatoa kwa mparange!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…