Uchaguzi 2020 Hali si hali: Katambi 'akataliwa' na 'kugomewa' Shinyanga Mjini, Masele aombwa kumsaidia. Ahaidiwa Ubalozi

Uchaguzi 2020 Hali si hali: Katambi 'akataliwa' na 'kugomewa' Shinyanga Mjini, Masele aombwa kumsaidia. Ahaidiwa Ubalozi

Badala ya kutangaza sera za chama chake, yeye anaendekeza matusi..........

Na hiyo ndiyo itakayowa-cost vibaya sana, hadi hilo jimbo walipe mkono wa Bye Bye
Hili Jimbo imekuwa ikishinda kwa mazabe mazabe tu. Toka 2010 eti Shelembi kazidiwa kura moja usenge mtupu.

Baada ya kura wakaona wammalizie tu mzee wa watu ili watawale vizuri.

2015 napo wakateka form za matokeo ili Wapeleke za kwao wanazozijua wao.

This time huyu dada kapewa mtelezo kwa kuletewa muuza meno acha ajipigie ila kutangazwa ndiyo mtihani.
 
CCM ilizaliwa mwaka 1977, kama tulivyo sisi binadamu, na yenyewe itafikia siku itakufa tu! Ni Tanzania pekee ndiyo itakayobakia milele.Dalili zipo wazi.

Hata kama Magufuli ataamua kuvunja katiba mwaka 2025 na kutawala milele, siku atakapo ondoka madarakani aidha kwa kifo au hata kwa kupinduliwa kama rafiki yake Saddam Hussein wa Quwait,
mtifuano kati ya CCM Asili dhidi ya CCM Makinikia, hautakiacha hicho chama salama!

Kitajifia tu! Na siku hiyo ya kifo cha CCM, hakika nitafanya sherehe.
Magufuli akijidanganya kubadili katiba kupinduliwa itakuwa asubuhi tu hatamaliza hata miaka mitano ya udikteta wake.
 
UMMA WOTE TUNAJUA CHADEMA BADO MNA BIFU KUBWA KWA KATAMBI NA HUU UZI NI MOJA YA MIKAKATI YENU ILI KUMFIGISHA KATAMBI.
LAKINI UKWELI NI KWAMBA SHINYANGA IKO NA KATAMBI.

MLIUHADAA ULIMWENGU KWAMBA MKO NA MEMBE, MBONA HATUWAONI??
WANAFIKI WA TAIFA NYIE!
Yaani wapinzani wachukue Membe ? Acha bangi wewe
 
Naamini ni ujinga, kama anateuliwa mtu kwa vile anauwezo wa kuongea mbovu, anakitetea chama bila kujali, tuwaridhishe kundi la wasanii, ni ulofa, kazi ya huko ni zaidi ya mambo hayo, kuna kuchambua mambo na kushauri, sasa hii itapelekea kutungwa kwa sheria mbovu kama zile za takwimu!
CCM hawajali hilo kwa sababu sasa hivi hawapiganii maslahi ya wananchi tena bali ni maslahi ya chama.

Imagine awamu ya tano ilivyotunga sheria nyingi kandamizi na zinazoua ustawi wa nchi.
 
Hali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.

Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.

Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)
Hivi una uhakika na unachokisema?

Angalia hapa

 
Hali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.

Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.

Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)
Mzee Tuoa tupa shaloom
Hivi kwa hali ilivyo, ni wapi hapa Tanzania Ccm ilisha kubaliwa na Watanzania kutoka rohoni. Hebu fikiria kama hata Mgombea wenu wa Urais juzi bila kuwa na wanamuziki kule Chato hakunge kuwa na mahudhurio.
Jana Bukoba mjini hali ni hiyo hiyo watu wamesombwa toka mikoa ya jirani na wilaya zote za Kagera. Ili tuu Yesu wa Ccm adanganywe kwamba Ccm ina watu. Kuna taarifa za gari kupinduka na watu kuumia kama sio kufa wakiwa wana pelekwa Bukoba mjini. Hili limefanywa siri kulinda chama.
Sasa Katambi bakuli anaweza shindana na mashine ya Chadema kweli?
Vyombo vya usalama ndivyo vinachelewesha Ccm kufungiwa virago.
 
Ubalozi umeshushwa hadhi.

Umeonekana ni kazi ya kuwapoza watu walioondoleea kwenye mchakato wa kutafuta wabunge.
 
Hali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.

Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.

Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)
Dhambi ya usaliti inaendelea kumtafuna.
 
Hali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.

Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.

Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)

Hali ni mbaya wapi.mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye mapool table na kujipa moyo mnashinda..huyo mgombea wenu kafanya mkutano 1 tangu kampeni zianze.pesa hata ya kuandaa mkutano hana.unajitekenya mwenyewe kisha unacheka mwenyewe huo ni uzwazwa
 
Hali ni tete kwa mgombea wetu wa CCM hapa katika Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi. Katambi ambaye alikataliwa na 'Wajumbe' wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, alipitishwa 'kibabe' na Kamati Kuu na NEC ya CCM kule Dodoma. Katambi, katika kura za maoni, aliachwa mbali mno na aliyekuwa Mbunge wa hapa Steven Masele ambaye jina lake lilikatwa Dodoma.

Katika kuonesha kinyongo kisicho na uongo, makada wa CCM hapa Shinyanga Mjini wamekuwa wakijitenga na Katambi hadharani na sirini. Katika harakati za kuokoa jahazi na kuulinda ushindi wa CCM, Mbunge wa zamani Masele 'ameombwa' na viongozi waandamizi wa CCM Taifa kumsaidia Katambi katika kampeni zake. Ameahidiwa kuwa endapo CCM ikishinda Urais atapatiwa nafasi ya Ubalozi au nyingine tamutamu.

Masele hana tatizo na hilo. Lakini, wafuasi na wasukamipango wake wamegoma 'kumruhusu' kumsaidia Katambi wakidai kuwa Katambi hauziki hata kama utapigwa na muziki. Pamoja na kwamba CCM ndiyo watetezi wa hapa Shinyanga Mjini, hali yetu si nzuri kulingana na taswira iliyochorwa ya mgombea wetu. Katambi anatajwa kama asiye na ushawishi wowote na kusemwa kuwa 'anatakiwa' tu Bungeni kwenda kuwaongelea mbovu wapinzani.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Shinyanga Mjini)

This is good news....!!!
Katambi hastahili kupewa hata Ukatibu Kata. Huyu jamaa ni mwongo, mzandiki, mnafiki ,nyoka na ndumila kuwili. Acha apambane na hali yake.......Pambaf zake.
 
Hali ni mbaya wapi.mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye mapool table na kujipa moyo mnashinda..huyo mgombea wenu kafanya mkutano 1 tangu kampeni zianze.pesa hata ya kuandaa mkutano hana.unajitekenya mwenyewe kisha unacheka mwenyewe huo ni uzwazwa
Pesa atoe wapi nyie mliokusanya kodi mbona mnazitapanya kwenye kampeni badala ya maendeleo
 
This is good news....!!!
Katambi hastahili kupewa hata Ukatibu Kata. Huyu jamaa ni mwongo, mzandiki, mnafiki na nyoka na ndumila kuwili. Acha apambane na hali yake.......Pambaf zake.
Na wanaccm wamnamjua vizuri ngoja asubiri matokeo yatakayomshangaza baada ya yale ya wajumbe.
 
Sisi ndiyo NATIVES wa Shinyanga....

Wewe sijui uko wapi. Lakini ulichokisema, ndiyo hali halisi hapa. CCM na Patrobas Katambi kushinda jimbo hili itakuwa ni sawa na ng'ombe apenye kwenye tundu la sindano....!

Salome Makamba na CHADEMA washindwe wenyewe kulitwaa jimbo hili...

Tabu ya waswahili wa shy town hawaijui mipaka ya jimbo.kelele tu vijiweni.na kuombaomba vijisent kila wanapomuona mgombea.Katambi hata mia hatoi wamenuna hao..hata masele hili alikua ameisha liona na ndio sbb kata za waswahili wa mjini alizipotezea.Kuhusu salome.katelekezwa.hana hata team ya kampen..mkutano 1 mwezi unaisha.atashinda kwa kukaa ndani.
 
Back
Top Bottom