Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Mie jana nikaenda mpk ofisi zao hakuna la maana walonojb nikaelewa. Hapa najiandaa na tuition fees. Chupi itanibana 😅
 
Ila kwenye sekta ya elimu , kwa wale wa form 6 2017 kurud nyuma nadhani wanaikumbukua shughul ya mh Ndalichako ilikua ni tabu mixer majonz kiaina ...binafc ndio kilichonifanya nichelewe kwenda chuo mpk Leo hii [emoji3] ctaman kukumbuka kwakweli
Hahah Mkuu alikufanyaje mpaka ukashindwa kuendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…