Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #141
sawa chief notedNdio maana nimesema watu wachange ,kwa sababu elimu ni jambo la kheri watu wapige donation fasta kama ndugu wachangie mtoto apate elimu.
Maana kesho kafanikiwa ndio hao hao wanaanza kuomba msaada.
ShukraanHongeraa sanaaa.
kama hujui kuwa wanene wamo humu tulia mkuu.Unakuja kutafuta haki ya kupata mkopo jamii forum?
Hili ni jambo zuri sna chiefAya continuous View attachment 2795668
Wakikuandikia hivyo wanamaana gani?Your application is being processed. Wait for final results
Hiyo inamaana gani maana hata mdogo wangu kaekewa hivyoMpk hpo ushawin mkuu hongera
Kaza sanaa.Shukraan
Awe mpolee asubiri matokeo.Hiyo inamaana gani maana hata mdogo wangu kaekewa hivyoView attachment 2795673
Ni kweliHili ni jambo zuri sna chief
Hatua ya mwsho hyo na uhakika wa kupata mkopo ndugu yng, dogo tu asiwe na wacwacHiyo inamaana gani maana hata mdogo wangu kaekewa hivyoView attachment 2795673
Kawaida yng , Ila huwa naanza na mchuz wa pweza nawakaza kisawsaw [emoji3]Kaza sanaa.
chief hawa madogo wamezagaa mtaani,hali si shwari kabisaNa saivi wanatoa Hadi kwa madogo wa Diploma,, najiuliza kama Degree ndo wanashindwa hivi je Diploma wataweza kweli au ndo Siasa za Bongo kutafuta credit kwa ajili ya kupata Kura
🥲Hiyo inamaana gani maana hata mdogo wangu kaekewa hivyoView attachment 2795673
Mimi mwenyewe mpaka hapa napozungumza bado niko nyumbani sina directionSio uongo, huu mwaka wanafunzi wengi hawataenda chuoni,
Nawaona wengi tyuuh mtaani, wakati muda was kuripoti ndo huu.
Pesa zinatolewa ila Kuna mtu anakata juu. Bora wamrudishe Ndalichako aisee... Hii sector aliiweza sana watoto walisoma.chief hawa madogo wamezagaa mtaani,hali si shwari kabisa