Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Na kwako ilikuandikia hivi kabla ya kuwekewa mzigo?Mpk hpo ushawin mkuu hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwako ilikuandikia hivi kabla ya kuwekewa mzigo?Mpk hpo ushawin mkuu hongera
Tuko pmj mm sio msaliti, yanaweza nikumba huko mbeleni so I must be a part of the changehongera sana,sasa wapambanie wengine . humu JF kuna wakubwa wengi kikubwa uzi uwafikie
Mm pia iko hivoMpk hpo ushawin mkuu hongera
Awapigie DP World, mbona faster Tu 😂 wanatumaMkuu unataka kusema maza atoe pesa kama njuguu??
inatosha kuanzia chief,wengi hawajapata kabisa . mm sipendi kuwaona mnapauka kitaaYeah jpo nmepunjwa sanaaa
Hebu nipe mchanganuoHatimae [emoji4]View attachment 2795629
Hii account ya jf ni ya bro wang, huwa nazama humu mara kadhaaKumbe you're a student? Congrats for that
Nawaza kisengerema hp, ntatoboaje aiseeHeri wewe sie tuko tunatafuta 3m na kodi twadaiwaa.
Insha'Allah mambo yatakwenda sawa
Yeah broNa kwako ilikuandikia hivi kabla ya kuwekewa mzigo?
Yaah mwenyewe ,abduli nondo alinipigania kwelii tena bila kujifichaTuko pmj mm sio msaliti, yanaweza nikumba huko mbeleni so I must be a part of the change
Kwa kiifupi hapo kwenye Ada Nina deni la takriban 1,354,600 mkuuHebu nipe mchanganuo
boss inaonekana hujui hali halisi ya kipato cha mtanzania wa chini!Tatizo bado mgeni ukiona kweupe ujue ndio umekosa haina haja ya kutangazwa ...Ila waombeni hata ndugu walipe ada jani million moja kwa mwaka mbona watu wanachangia harusi !!?
Unataka kusema mpunga utaingiaYeah bro
afadhali kuliko kukosa kabisaNawaza kisengerema hp, ntatoboaje aisee
Una nusu saa tu hpo mtonyo wa continuous unaingia bossUnataka kusema mpunga utaingia
Nianze kufurahi [emoji16]
Maana hapa nasikiliza matangazo ya vifo kwenye redio
Ndugu wa kiafrika hawachang kama hawana uhakika wa kula pesa waliyochanga ama umekufaTatizo bado mgeni ukiona kweupe ujue ndio umekosa haina haja ya kutangazwa ...Ila waombeni hata ndugu walipe ada jani million moja kwa mwaka mbona watu wanachangia harusi !!?
Ni kweli angalau lkn nipo kwenye listafadhali kuliko kukosa kabisa
Kama ni kweli we jamaa nitakutafutaUna nusu saa tu hpo mtonyo wa continuous unaingia boss