Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Mimi namshukuru mungu ndugu yangu nilipata batch one. Lakini hali bado si shwari kwangu pamoja na rafiki zangu wanaonizunguka wengi wao wamekata tamaa ya kwenda chuo mwaka huu

Huwenda huu ndio ukawa mwaka ambao wanafunzi wengi hawataripoti chuoni

MUNGU ATUSIMAMIE TUSIKATE TAMAA
Sio uongo, huu mwaka wanafunzi wengi hawataenda chuoni,
Nawaona wengi tyuuh mtaani, wakati muda was kuripoti ndo huu.
 
Hatimae [emoji4]
20231028_122224364.jpg
 
Tatizo sio kupaza sauti, tatizo ni mfumo wa uendeshaji ktk bodo husika,
Kila mwaka tatizo ni lile lile linajirudia khaaah.
mimi nakumbuka media zilitufuata kutuhoji pale ofisi za bodi mwenge mpakani. kina Abdul nondo wakaja wakapaza sauti sana later on president magufuli akasema hela yake aliyo itenga kwa wanafunzi haijaisha aiseeh bodi ya mikopo wakatoa batch fasta tena yenye hela nyingi
 
Bila monitoring hii mbungi ni ngumu
mamlaka wasaidieni vijana wanazagaa sana mtaani
 
Pole kwao!

Nadhani muda umefika sasa vijana wakimbilie vyuo vya kati ili wapate skills na kujiajiri!

Nadhani pia serikali imesaidia kupatikana kwa mikopo kwa diploma ambapo ada zao ni nafuu kuliko shahada,waliopata asilimia chache za mkopo wakasome diploma yenye tija kuliko kung'ang'ania shahada ambayo ni ngumu kupata ajira huko mbeleni!!
Ni kweli mkuu Hila Nako huko udiplomani atujui wataigawaje hiyo national cake uenda Nako kukawa na masononeko kaya haya au zaidi hata ya haya
 
Back
Top Bottom