Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Mimi namshukuru mungu ndugu yangu nilipata batch one. Lakini hali bado si shwari kwangu pamoja na rafiki zangu wanaonizunguka wengi wao wamekata tamaa ya kwenda chuo mwaka huu

Huwenda huu ndio ukawa mwaka ambao wanafunzi wengi hawataripoti chuoni

MUNGU ATUSIMAMIE TUSIKATE TAMAA
Hongera sana

ubarikiwe pia kuwapigania wengine, kifupi hali ni mbaya sana bila tamko lolote vijana wengi watakosa fursa ya kusoma mwaka huu
 
Duh poleni sana vijana, mambo ya bodi magumu sana sitaki kuyakumbuka yalitesa sana.
Ifike kipindi Sasa serikali ifute ada kwa vyuo vikuu wawape fungu vyuo vyoye kulingana na capacity ya wanafunzi wanaodahiliw kwa Kila chuo. wanafunzi wawe wanaomba pesa za kujikwimu tu uko bodi ada iwe kwa wote kwani si nchi tajiri hii ccm mnavyotuambia na pesa si juzi tu zimeingizwa dp wameshatufanyia wepesi hiyo Kasi ya kununua ma v8 iendane na Kasi ya kuwalipia ada wananchi kwani rasilimani si za viongozi tu ni zetu sote itapendeza tukiisawazisha tuifaidi sote ninyi fungu lenu itumieni kwenye kununua ma v8 ya kwetu sisi tunaomba basi walau wadogo zetu wasome bila stress za ugumu wa maisha
Noted mkuu, mamlaka zipo humu ni imani yangu watafanyia kazi
 
ukipita kwenye kurasa za kijamii za bodi ,comments za vijana zinaonesha wamekata tamaa kabisa na hii bodi ya mikopo.

RAIS, TISS, TAKUKURU Imulikeni bodi
 
Wakuu poleni na mapambano. sitaki niwapotezee wakati niende moja kwa moja kwenye mada.

Kilio changu ni upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2023/2024 kumegubikwa na utata mkubwa kutokana na sababu zifuatazo

1.Account za waliokosa hazina notifications zozote kuwa kakosa mkopo awamu hii ama nyingine. ili upate taarifa lazima uje mitandaoni washkaji waweke screenshot ndio utajua kuna wale ambao wako allocated

2. Kilio cha ufinyu wa ada , wanufaika waliopangiwa kinasikitisha sana imagine ada ya programe ni 1.5 M lakini bodi wanatoa ada 200k kwelii!

3. Hawatoi list ya majina ya watu waliopata kiasi kwamba hili zoezi linaendeshwa pasipo uwazi wowote wakuu. tofauti na mwanzo miaka ya 2015s walikua wanatoa list na ku updates kwenye account

4. Status kwenye account ya mnufaika imekua ikibadilika mara kwa mara mfano unaweza pata status ya "congratulations your application is verified complete wait for allocation process" later on wanakuambia application is not complete rekebisha sehemu fulani !!

Note: Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa wale ambao walipata mkopo kwa mbinde sana ,Kama sio MUNGU kumtumia Abdul Nondo sidhani kama ningetoboa kwani Rais magufuli alitoka hadharani nakusema pesa yake aliyotenga kwa ajili ya wanafunzi haijaisha aiseeh wakaja kutoa Batch nyingine tukapata mikopo asilimia 100 wotee,MAMA SAMIA WASAIDIE HAWA VIJANA WAPATE HAKI YAO, TUNAIMANI NAWEWE
Pole kwao!

Nadhani muda umefika sasa vijana wakimbilie vyuo vya kati ili wapate skills na kujiajiri!

Nadhani pia serikali imesaidia kupatikana kwa mikopo kwa diploma ambapo ada zao ni nafuu kuliko shahada,waliopata asilimia chache za mkopo wakasome diploma yenye tija kuliko kung'ang'ania shahada ambayo ni ngumu kupata ajira huko mbeleni!!
 
Wakuu poleni na mapambano. sitaki niwapotezee wakati niende moja kwa moja kwenye mada.

Kilio changu ni upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2023/2024 kumegubikwa na utata mkubwa kutokana na sababu zifuatazo

1.Account za waliokosa hazina notifications zozote kuwa kakosa mkopo awamu hii ama nyingine. ili upate taarifa lazima uje mitandaoni washkaji waweke screenshot ndio utajua kuna wale ambao wako allocated

2. Kilio cha ufinyu wa ada , wanufaika waliopangiwa kinasikitisha sana imagine ada ya programe ni 1.5 M lakini bodi wanatoa ada 200k kwelii!

3. Hawatoi list ya majina ya watu waliopata kiasi kwamba hili zoezi linaendeshwa pasipo uwazi wowote wakuu. tofauti na mwanzo miaka ya 2015s walikua wanatoa list na ku updates kwenye account

4. Status kwenye account ya mnufaika imekua ikibadilika mara kwa mara mfano unaweza pata status ya "congratulations your application is verified complete wait for allocation process" later on wanakuambia application is not complete rekebisha sehemu fulani !!

Note: Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa wale ambao walipata mkopo kwa mbinde sana ,Kama sio MUNGU kumtumia Abdul Nondo sidhani kama ningetoboa kwani Rais magufuli alitoka hadharani nakusema pesa yake aliyotenga kwa ajili ya wanafunzi haijaisha aiseeh wakaja kutoa Batch nyingine tukapata mikopo asilimia 100 wotee,MAMA SAMIA WASAIDIE HAWA VIJANA WAPATE HAKI YAO, TUNAIMANI NAWEWE
Sasa wanaleta message hii: Applicant's profile is not seen.

Ina maana gani hii, watu wa ajabu sana
 
Pole kwao!

Nadhani muda umefika sasa vijana wakimbilie vyuo vya kati ili wapate skills na kujiajiri!

Nadhani pia serikali imesaidia kupatikana kwa mikopo kwa diploma ambapo ada zao ni nafuu kuliko shahada,waliopata asilimia chache za mkopo wakasome diploma yenye tija kuliko kung'ang'ania shahada ambayo ni ngumu kupata ajira huko mbeleni!!
Noted champ,wapo humu watalifanyia kazi
 
Wakuu poleni na mapambano. sitaki niwapotezee wakati niende moja kwa moja kwenye mada.

Kilio changu ni upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2023/2024 kumegubikwa na utata mkubwa kutokana na sababu zifuatazo

1.Account za waliokosa hazina notifications zozote kuwa kakosa mkopo awamu hii ama nyingine. ili upate taarifa lazima uje mitandaoni washkaji waweke screenshot ndio utajua kuna wale ambao wako allocated

2. Kilio cha ufinyu wa ada , wanufaika waliopangiwa kinasikitisha sana imagine ada ya programe ni 1.5 M lakini bodi wanatoa ada 200k kwelii!

3. Hawatoi list ya majina ya watu waliopata kiasi kwamba hili zoezi linaendeshwa pasipo uwazi wowote wakuu. tofauti na mwanzo miaka ya 2015s walikua wanatoa list na ku updates kwenye account

4. Status kwenye account ya mnufaika imekua ikibadilika mara kwa mara mfano unaweza pata status ya "congratulations your application is verified complete wait for allocation process" later on wanakuambia application is not complete rekebisha sehemu fulani !!

Note: Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa wale ambao walipata mkopo kwa mbinde sana ,Kama sio MUNGU kumtumia Abdul Nondo sidhani kama ningetoboa kwani Rais magufuli alitoka hadharani nakusema pesa yake aliyotenga kwa ajili ya wanafunzi haijaisha aiseeh wakaja kutoa Batch nyingine tukapata mikopo asilimia 100 wotee,MAMA SAMIA WASAIDIE HAWA VIJANA WAPATE HAKI YAO, TUNAIMANI NAWEWE
Tunapowaambia hiyo Bodi ya Mikopo ni 🚮 muwe mnatuelewa. Hiyo Bodi inaendeshwa kihuni sana. Na nfiyo maana sishangai kuona mnufaika aliyemaliza mkopo wake mwaka 2017, akianza kukatwa makato upya na kwa sababu zisizoeleweka.

NB: kwa wale wazazi/walezi wenye uwezo, ni bora kuwalipia watoto wao ada, ili tu kuwaepusha na dhuluma kutoka kwenye hii Bodi inayoendeshwa kienyeji.
 
Tunapowaambia hiyo Bodi ya Mikopo ni 🚮 muwe mnatuelewa. Hiyo Bodi inaendeshwa kihuni sana. Na nfiyo maana sishangai kuona mnufaika aliyemaliza mkopo wake mwaka 2017, akianza kukatwa makato upya na kwa sababu zisizoeleweka.

NB: kwa wale wazazi/walezi wenye uwezo, ni bora kuwalipia watoto wao ada, ili tu kuwaepusha na dhuluma kutoka kwenye hii Bodi inayoendeshwa kienyeji.
Chief hali ni mbaya sana kwa vijana, mchakato umegubikwa na kukosa uwazi kabisa

bila tamko la mamlaka za umma ,wengi watashindwa kusoma mwaka huu
 
Pesa iliyotolewa na serikali ifanyiwe stiff monitoring je imetumika ipasavyo?

sipa za wachache waliopata ada imekua kichekesho kabisa.kundi kubwa halijapata mkopo !!

Hii nchi ni yetu sote, wapeni mikopo vijana .
 
Back
Top Bottom