ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
hiyo inamaanisha wanakubaliana baya ingekuwa kama kila mtu anasema vyake lakini ukiangalia kila kiongozi anaesema lazima utasikia sep.1 mikutano kama kawaidaChadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.
Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.
Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.
Tutaendelea next
Poor womanNimegusa penyewe. Nakuheshimu pia hivyo nawe uache kuandika usiyokua na uhakika nayo kuhusu Magufuli. Mnadhani ana moyo wa chuma ehh? Kejeli, dharau, kama vile aliingia madarakani kwa mapinduzi. Test joto la kejeli.
Lowasa fisadi ushahidi upoMagufuli fisadi ushahidi upo, kahonga nyumba alizokwapua ushahidi upo. Dikteta uchwara ushahidi upo. Muongo ushahidi upo mpaka kwenye ripoti ya CAG. Hebu weka kile nilichoandika mimi humu kuhusu Magufuli ambacho si cha kweli.
Kwani cdm ina msemaji moja
Lowassa anatoa tamko kwa cheo ipi? Sumaye? Tundu Lissu anacheo gani kinachomuwezesha kutoa tamko la chama? Hauoni hapa kila mtu anauza sura ili naye aonekane? Ndiyo maana mgombea Mwenza alirudi Cuf akadai cdm kila mtu kambaleKwani hao ambao umewataja kama wasemaji wa chama siyo viongozi ndani ya CHADEMA?kwani hujui kuwa CHADEMA ni taasisi pana ambayo ina viongozi wengi ambao wanaweza wakatoa tamko na likahesabika kuwa nitamko la chama?.
Kwa nini hushangai ya serekali ambayo ina mawaziri wengi,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na viongozi kadhaa wakadhaa ambao wanatoa matamko mbalimbali na yanahesabika moja kwa moja kuwa ni matamko ya serekali?.
Ni wewe au kuna mtu kaiba password yako??Wewe inakuhusu nini kufuatilia mambo ya CHADEMA!? Kama ina msemaji mmoja au elfu moja it is none of your business! Mind your own business. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe hayakuhusu!
Nawashangaa sana mnaobishana na mtu kama BAK, huyu ni toilet paper ni mwendo wakuwapangusa mafisadi. Hovyo kabisa
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.
Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.
Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.
Tutaendelea next
Ni msemaji wa jumuiya ya wazazi, sasa Lowassa ni msemaji wa Jumuiya ipi ndani ya cdm?Mbona umemsahau Ustadh Abdalah Majura Bulembo nae ni msemaji wa chama.
wacha ubishi mkuu. mbona iko wazi kwa mdadisi yoyote. lowassa anasema cdm iwache uanaharakati na kuendesha upinzani wa kawaida. lissu anaendesha uanaharakatiCHADEMA ngangari. Mtaandika sana nyuzi zenu za kusadikika na ushahidi wa kusadikika. Eti, "taarifa kutoka ndani ya chama hicho" Hahahahaha lol! Taarifa hiyo imetolewa na nani!? Au hana jina? Imetolewa lini?
asante kwa utunziChadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.
Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.
Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.
Tutaendelea next
Mimi nikitafakari huwa nacheka sana eti LOWASA naye anawaza siku moja anaweza kuiongoza tanzania.