Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Frey na wenzako. Mbona huendi kupeleleza habari za vyama vingine kama vile TLP, UDP, CM-Tanzania, UPDP, ACT-Wazalendo, SAU, CCJ na vingine? Tunaomba utujuze na habari za huko. Au habari zao hazinunuliki kwa boss?
 
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next


Ha ha haaaaa ulikuwa hujamtaja Lowasa siku tatu sasa roho yako imetulia. Ila umenifurahisha sana mbinu uliyotumia zisipite siku tatu ha haaaaa
 
Chadema ipo moja haijagawanyika.
Yote ni chadema mafisadi tundu lisu,msigwa walipata mgao wao kutoka kwa mbowe baada ya kuuza chama kwa fisadi lowasa bilioni 10.
Wote sasa ni watetezi wa mafisadi.
Nenda mahakamani.... Wangemuacha Lowasa... Wakina Mramba na Yona tujisenti wamewafunga jela.... Basi wanamuogopa Edo
 
Kama hali ilivyo mbaya CCM, kwa habari nilizozipata hapa Lumumba jioni ya leo ni kwamba,mawaziri waandamizi wa serikali wanapinga jinsi mheshimiwa mwenyekiti wa chama anavyoendesha chama chake kama Mali yake binafsi,baada tu ya kukabidhiwa chama mwezi wa saba mwenyekiti amekuwa haambiliki anajiona yeye ndo chama na bila yeye hakuna ccm,

Wanaccm watiifu baadhi yao wameamua kukaa kimya,wanachama hao wakiongozwa na waziri mmoja wa wizara ya ushirikiano wa visiwa na bars ameamua kukaa kimya kabisa kama amesafiri.

Nae aliyewahi kuwa waziri wa mataifa matano ya Afrika ameamua kuchoma kadi ya kijani na kusema kitaeleweka 2020

Aliyepata kuwa waziri wa kimiminika naye amesema vita waliyoianzisha dhidi ya mwenye kigoda itatimia 2020.

MAMBO SI MAMBO NDANI YA CCM,MUULIZENI LIZABON ATASEMA YOTE,MWENYEWE AMECHANGANYIKIWA
 
CHADEMA ngangari. Mtaandika sana nyuzi zenu za kusadikika na ushahidi wa kusadikika. Eti, "taarifa kutoka ndani ya chama hicho" Hahahahaha lol! Taarifa hiyo imetolewa na nani!? Au hana jina? Imetolewa lini?
Ameshasema hakuna msemaje wa chama.myb Katibu wa tawi amempa dokezo ilo akajua n kauli ya chama
 
Waruhisu mukutano na vyombo vya habari vipewe ruhusa ya kuripoti habari za upinzani hapo ndipo watamuona msemaji wa CHADEMA.
Hamtaki tuseme halafu mnataka kujua msemaji wetu!
 
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next
Kama kuna dalili za ukweli hapo manake CDM kwa kweli ilishapoteza msemaji. Nakumbuka alikuwepo Tumbo akaondolewa akaja Mnyika kwenye Kurugenzi. Baada ya Mnyika mambo hayaeleweki. Kila mtu ni msemaji.
 
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next
hali si shwari ndani ya CCM. CHADEMA moto wa UKUTA hadi vijijini
 
Huyu mleta maada atakuwa ni yule MANYAUNYAU wa DAR.Yuko ktk Kazi yake ya uganga wa asilia.Manyaunyau hapa umetabili au????.
 
Back
Top Bottom