Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Tatizo lako unadhani mimi natunga ninayoandika humu kuhusu Magufuli dikteta uchwara. Haya yamo katika ripoti za Serikali zimeandikwa na watu walioaminiwa na kupewa wadhifa mkubwa Serikalini. Kama haya yote yaliyomo katika ripoti za Serikali kuhusu ufisadi na uongo wa Magufuli Dikteta uchwara ni ya uongo basi si uongo wa BAK bali ni uongo wa waliomo Serikalini

A very good read... Ngoja aamke naona bado amalelala...
 
shauri zenu. msifikirie 2020 itakuwa rahisi kama vile.
 
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next
Ndoto njema
 
Magufuli fisadi ushahidi upo, kahonga nyumba alizokwapua ushahidi upo. Dikteta uchwara ushahidi upo. Muongo ushahidi upo mpaka kwenye ripoti ya CAG. Hebu weka kile nilichoandika mimi humu kuhusu Magufuli ambacho si cha kweli.
BAK nikipitia posts zako za miezi tisa tu nyuma napata mashaka sana kichwa chako,lakini ndio demokrasia
Cc Freema Agyeman
 
Wewe inakuhusu nini kufuatilia mambo ya CHADEMA!? Kama ina msemaji mmoja au elfu moja it is none of your business! Mind your own business. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe hayakuhusu!
Mpwa unapata wapi nguvu ya kuongea na hawa vibaraka wa kijani?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Weka ushahidi wa hizo posts za miezi tisa nyuma usiandike kitu ambacho huwezi kukithibitisha. Kichwa changu kwa taarifa yako kiko bomba sana.

BAK nikipitia posts zako za miezi tisa tu nyuma napata mashaka sana kichwa chako,lakini ndio demokrasia
Cc Freema Agyeman
 
Hiyo ni wazi sasa ni mradi wa CCM kuishambulia CHADEMA kwa kasi
Post hii hii ilibandkwa na Lizabon jana

Ukigusa mpasuko wa CCM ambao wenyewe CCM wanaujua post inapotea
Hata kama ni fursa ya kipatato kunadi akili kipuuzi kama hivi ni janga.
Ushwari au si ushwari unamweleza nani ili iweje?
 
Mpwa acha tu tupambane na hawa na uzushi wao. Kama utakumbuka tumeanza kupambana nao tangu enzi za uzushi wao kwamba CHADEMA ni chama cha Wachagga na Wakristo na tutawashinda tu kwenye kila hoja yao ya kutaka kuichafua CHADEMA kwa namna yoyote ile.
Mpwa unapata wapi nguvu ya kuongea na hawa vibaraka wa kijani?
 
Mkuu BAK wewe ni kiboko ya washakunaku, yaani umempa za uso huyu mleta mada hadi amekimbia. Nadhani anajuta kukufahamu mkuu. Safi sana. Magamba wamebaki na uzushi tu awamu hii ya mzee .
 
Khaa! Weka facts and figures za ufisadi, udikteta na uongo wa Magufuli, then nitaleta ushahidi wa uongo wako dhidi yake ambao ni kama kumsukuma mlevi as upo humu humu jamvini na nimeshauvuta.
Kwenda kinyume na katiba inaitwaje?
 
Mkuu BAK wewe ni kiboko ya washakunaku, yaani umempa za uso huyu mburula (mleta mada) hadi amekimbia. Nadhani anajuta kukufahamu mkuu. Safi sana. Magamba wamebaki na uzushi tu awamu hii ya mzee uchwara.
Kama wavuta bangi vile, wakipongezana kijiweni baada ya kuvuta puff!
 
Babu Duni: CHADEMA ni kama kambale. Kila mtu ni msemaji
 
Hao hawatafika mbali bila mitafaruku
Kila mmoja ni msaka tonge
 
Wana demokrasia ya kusema na kudamka mambo mazito. What is wrong with that? Ukitaka waombe kibali chaetaou?
 
ngoja hawa waje na UKUTA wao tutawashikisha nao tu......... maana wanatuona watanzania ni manyumbu kutuyumbisha kama watakavyo.
 
Back
Top Bottom