KayScarpetta
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,251
- 775
Tatizo lako unadhani mimi natunga ninayoandika humu kuhusu Magufuli dikteta uchwara. Haya yamo katika ripoti za Serikali zimeandikwa na watu walioaminiwa na kupewa wadhifa mkubwa Serikalini. Kama haya yote yaliyomo katika ripoti za Serikali kuhusu ufisadi na uongo wa Magufuli Dikteta uchwara ni ya uongo basi si uongo wa BAK bali ni uongo wa waliomo Serikalini
shauri zenu. msifikirie 2020 itakuwa rahisi kama vile.
Ndoto njemaChadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.
Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.
Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.
Tutaendelea next
BAK nikipitia posts zako za miezi tisa tu nyuma napata mashaka sana kichwa chako,lakini ndio demokrasiaMagufuli fisadi ushahidi upo, kahonga nyumba alizokwapua ushahidi upo. Dikteta uchwara ushahidi upo. Muongo ushahidi upo mpaka kwenye ripoti ya CAG. Hebu weka kile nilichoandika mimi humu kuhusu Magufuli ambacho si cha kweli.
Mpwa unapata wapi nguvu ya kuongea na hawa vibaraka wa kijani?Wewe inakuhusu nini kufuatilia mambo ya CHADEMA!? Kama ina msemaji mmoja au elfu moja it is none of your business! Mind your own business. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe hayakuhusu!
BAK nikipitia posts zako za miezi tisa tu nyuma napata mashaka sana kichwa chako,lakini ndio demokrasia
Cc Freema Agyeman
Mpwa unapata wapi nguvu ya kuongea na hawa vibaraka wa kijani?
Kwenda kinyume na katiba inaitwaje?Khaa! Weka facts and figures za ufisadi, udikteta na uongo wa Magufuli, then nitaleta ushahidi wa uongo wako dhidi yake ambao ni kama kumsukuma mlevi as upo humu humu jamvini na nimeshauvuta.
Kama wavuta bangi vile, wakipongezana kijiweni baada ya kuvuta puff!Mkuu BAK wewe ni kiboko ya washakunaku, yaani umempa za uso huyu mburula (mleta mada) hadi amekimbia. Nadhani anajuta kukufahamu mkuu. Safi sana. Magamba wamebaki na uzushi tu awamu hii ya mzee uchwara.
Hahahahahaaaaaa! Magufuli lazima awapoteze UKAWAHii ndio kazi mliopewa na mwenyekiti wenu mpya wa sisiem?