Ikiwa ni wiki mbili toka wanafunzi wa St John waingie barabaran kupinga mambo mabalimbali yanayoendelea chuoni hapo, leo hii tena walimu na watumishi mbalimbali chuoni hapo wamekuwa na vikao visivyoisha kujadili mustakabali wao chuoni hapo hali iliyotafsiriwa kuwa ni mgomo kwani kwa siku nzima ya leo hawajaingi madarasani.
Itakumbukwa kuwa chuo hicho kimekuwa na matatizo mbalimbali ikiwemo upungufu wa walimu wenye sifa,kuwa na kozi zisizotambuliwa na NACTE/TCU, upungufu wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia,upungufu wa vyumba vya kusomea na kadhalika,
Jioni ya leo wanafunzi wa chuo hicho kwa kushirikiana na umoja wa wanataaluma wa chuo hicho wameungana na kukubaliana kutoingia madarasani mpaka hapo madai yao ya msingi yatakapotatuliwa.Itakumbukwa kuwa jumamosi ijayo trh 6/12/2014 ilitarajiwa kufanyika mahafali ya 5 tangu kuanzishwa kwake.
Itakumbukwa kuwa chuo hicho kimekuwa na matatizo mbalimbali ikiwemo upungufu wa walimu wenye sifa,kuwa na kozi zisizotambuliwa na NACTE/TCU, upungufu wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia,upungufu wa vyumba vya kusomea na kadhalika,
Jioni ya leo wanafunzi wa chuo hicho kwa kushirikiana na umoja wa wanataaluma wa chuo hicho wameungana na kukubaliana kutoingia madarasani mpaka hapo madai yao ya msingi yatakapotatuliwa.Itakumbukwa kuwa jumamosi ijayo trh 6/12/2014 ilitarajiwa kufanyika mahafali ya 5 tangu kuanzishwa kwake.