intermediate
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 232
- 166
Daah aisee mi mwanafunz wa hapo ...huwaga hatukiitag chuo tunaitaga rekebisho ile system ya primary kurudia mchana..Roho inaniuma sana napofundishwaga na T.A yan najutaga kwanini nilichaguaga utumbo huu.